KERO Baadhi ya Walimu wa UDOM wanafelisha Wanafunzi makusudi!

KERO Baadhi ya Walimu wa UDOM wanafelisha Wanafunzi makusudi!

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Serikali itambue kinachoendelea UDOM kuwa si haki, yaani gharama za kulipia Carryovers na SUP ni kubwa kuliko hata ada yenyewe.

Imagine ma-lecture wanatucarrisha makusudi ili chuo kipate pesa. Tunaiomba Serikali iingilie kati ili suala jamani.

Ikiwa litaendelea kufumbiwa macho ni uhakika kuna maandamano yatakuja, tunaiomba Serikali ya mama Samia itusaidie kuondoa ili tatizo. 😭😭
 
Ulitakiwa utoe na mifano dhahiri na majina yao na wamefelisha wanafunzi wangapi?! Hivi mtu unaandika kama anonymous unashindwa nini kufunguka?!!
 
DOGO SOMA ACHANA NA KUKESHA BRISTOL,MARA RAINBOW,,UKIGEUKA HUKU BAMBALAGA LAZIMA UCHUKIE MA LECTURES...
 
Unasoma UDOM unapataje sup?? Hadi una carry kweli, ungesoma SUA ingekuaje? Anyway nchi haina ela saiv hata raisi wenu ameuza madini ya akiba huko
 
Back
Top Bottom