Baadhi ya facts kuhusu nyoka

Baadhi ya facts kuhusu nyoka

FB_IMG_1744687644560.jpg
 
Katika viumbe ambao ungekuwa uwezo wangu ninge waangamiza duniani wasiwepo ni nyoka.
Nyoka hana huruma
Nyonga ni kiumbe kidogo lakini kinatisha binadamu kwa hatari aliyokuwa nayo.
Nikimuona nyoka katika mazingira yangu ili niwe na amani basi nimuuwe.
Nyoka siyo kiumbe cha kawaida kuna siri kubwa sana juu ya kiumbe hiki.
 
Hawa nyoka wapo sana Kilosa,wanaitwa nyoka kamba

Akikung'ata ndio baba jeni baibai hiyo,ndani ya masaa 2 lazima ufe hata ufanyaje.

Sumu yake haina dawa,ila hadi akuume uwe umemuhatarishia sana maisha yake eidha kwa kumkanyaga bahati mbaya au vinginevyo.

Anaweza kujichanganya na kuni ukambeba bila kujua huko porini na akakuangalia tu bila kukushambulia.
 
Katika viumbe ambao ungekuwa uwezo wangu ninge waangamiza duniani wasiwepo ni nyoka.
Nyoka hana huruma
Nyonga ni kiumbe kidogo lakini kinatisha binadamu kwa hatari aliyokuwa nayo.
Nikimuona nyoka katika mazingira yangu ili niwe na amani basi nimuuwe.
Nyoka siyo kiumbe cha kawaida kuna siri kubwa sana juu ya kiumbe hiki.
FB_IMG_1744687518049.jpg
 
Nyoka ni aina ya viumbe watambaao wasioeleweka zaidi duniani, lakini wana jukumu muhimu katika kudumisha usawa wa ikolojia.
Kiuhalisia kuna zaidi ya aina 3,000 za nyoka duniani kote, na wengi wao hawana sumu!
Wanasaidia kudhibiti idadi ya panya na ni muhimu kwa mnyororo wa chakula. (Food chain)
Kuanzia King Cobra hadi Nyoka wa mashambani mwenye rangi nyingi, wanyama watambaao hawa wanavutia na ni muhimu! Kwenye mizania ya ikolojia
Nyoka wananusa kwa ndimi zao!
Nyoka mrefu zaidi mwenye sumu ni King Cobra, ambaye anaweza kukua hadi futi 18.

Baadhi ya nyoka wanaweza kwenda miezi bila kula baada ya chakula kikubwa.

Chatu aliyeachwa huru ndiye nyoka mrefu zaidi duniani.

Nyoka hupunguza ngozi yao(kujivua gamba) mara kadhaa kwa mwaka ili kuruhusu ukuaji na kuondoa vimelea.
View attachment 3304614
Mshana wewe nakuita mtaalamu wa mafumbo na ikolojia ya visivyo onekana ktk nchi. Somo zuri
 
Mshana wewe nakuita mtaalamu wa mafumbo na ikolojia ya visivyo onekana ktk nchi. Somo zuri
Mkuu hii ya leo ni halisi kabisa... Siku hizi nimeacha maana chatu wa sasa anameza na ana sumu kali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom