Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,928
- 828,569
- Thread starter
- #41
Sina maskhara na hicho kiumbeWenzetu wanacheza naye kama nyau tu.
View attachment 3304754
Sina maskhara na hicho kiumbeWenzetu wanacheza naye kama nyau tu.
View attachment 3304754
Huyu anaitwa twig/vine snake. Unaweza kujua ni tawi la mti lililokauka ila ndio carmouflage anayotumia kuwindia.
Hizi story za kibongo kuhusu black mamba nyingi ni zakutunga tu. Mara eti anawika kama jogoo mara anakimbiza mtu. Zote ni uongo mtupu.Wenzetu wanacheza naye kama nyau tu.
View attachment 3304754
Hizi story za kibongo kuhusu black mamba nyingi ni zakutunga tu. Mara eti anawika kama jogoo mara anakimbiza mtu. Zote ni uongo mtupu.
Sijakataa kuwa black mamba ni nyoka ambae ni aggressive na hatari lakini kuna chumvi nyingi sana zisizo na uhalisia kuhusu huyu nyoka kwenye soga za wabongo.
Sio kwamba namuogopa nyoka bali shape yake inanikera kidogo, afadhali angekuwa na miguu, viumbe wote wanaotambaa kidogo tunashindwana
Nyoka anacheka
Inapendeza. Nachangia hoja. Pamoja na nyoka kuwa na wingi wa aina (species)3,000+ ambapo sio rahisi kukariri wote; Lakini unaweza kusummarize na kuwaweka ktk makundi MANNE(4) tu kwa mujibu wa aina ya sumu walizo nazo::Nyoka ni aina ya viumbe watambaao wasioeleweka zaidi duniani, lakini wana jukumu muhimu katika kudumisha usawa wa ikolojia.
Kiuhalisia kuna zaidi ya aina 3,000 za nyoka duniani kote, na wengi wao hawana sumu!
Wanasaidia kudhibiti idadi ya panya na ni muhimu kwa mnyororo wa chakula. (Food chain)
Kuanzia King Cobra hadi Nyoka wa mashambani mwenye rangi nyingi, wanyama watambaao hawa wanavutia na ni muhimu! Kwenye mizania ya ikolojia
Nyoka wananusa kwa ndimi zao!
Nyoka mrefu zaidi mwenye sumu ni King Cobra, ambaye anaweza kukua hadi futi 18.
Baadhi ya nyoka wanaweza kwenda miezi bila kula baada ya chakula kikubwa.
Chatu aliyeachwa huru ndiye nyoka mrefu zaidi duniani.
Nyoka hupunguza ngozi yao(kujivua gamba) mara kadhaa kwa mwaka ili kuruhusu ukuaji na kuondoa vimelea.
View attachment 3304614
Lakini si kweli nyoka wapo? taka -usitake. Ww chukua hiyo elimu.Huyu sijui Ana asili ya ibilisi?? Yaani umeona huu ni uzi wa kutuletea ?? Tuogope tutishike kisha tufe?? Hivi unapata faida gani kuudhi wenzako mkuu
Hapana hiyo ni Yawning. Nyoka wana tabia ya kuachama mara kwa mara hivyo lakini lengo ni ili kupata harufu ya kitu kilicho jirani na ulimi peke yake umeshindwa kuleta harufu halisi/inayoeleweka. Nyoka kwa kawaida hawezi kuona vizuri umbali zaidi ya meta 3 (3 Metres) hivyo hutumia milango ya ziada kupata Harufu ya kitu kilicho zaidi ya umbali huo - Ni Adui au ni Chakula?Nyoka anacheka