mbotoro kivoi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,684
- 2,335
Mara nyingi kwa nchi zilizo endelea wana anti venom za kila aina wao huwa wanawakamata nyoka hao ambao ni venomous snakes sehemu mbalimbali na ku extract/kuvuna sumu zao kisha wanatengeneza anti venom kwa ku reverse engineering sumu hiyohiyo iwe dawa (antibodies) ya kutibu makali ya aina hiyohiyo ya nyoka aliekuuma....Ipi dawa y nyokaa au huduma y kwanza kam tiba Mshana Jr
Huyu huwakomesha wezi wa maembe juu ya mti. Utaona ni Bora kujiachia udondoke kama jiwe kuliko kushuka taratibu. Huyu sio mkali/mkorofi au Kuanzisha Ligi na binadamu lakini ana mbio sana.Nyoka aina ya BOOMSLANG
Nyoka barani Afrika ambaye sumu yake husababisha damu yako sio tu kuacha kuganda bali kutoka kwa kila shimo kwenye mwili wako.
📷: Nyoka dume katika mbuga ya wanyama ya Ruaha, TanzaniaView attachment 3305850
Hawana kosa; ni sahihi kwani kuna gharama ya utaalam na vifaa katika kuzitengeneza dawa hizo.Mara nyingi kwa nchi zilizo endelea wana anti venom za kila aina wao huwa wanawakamata nyoka hao ambao ni venomous snakes sehemu mbalimbali na ku extract/kuvuna sumu zao kisha wanatengeneza anti venom kwa ku reverse engineering sumu hiyohiyo iwe dawa (antibodies) ya kutibu makali ya aina hiyohiyo ya nyoka aliekuuma....
Kiafrica huku anti venoms sidhani kama zipo mingi na mbaya zaidi hao wenzetu kuna aina ya snakes wanavuna huku huku Africa ila dawa wanatengeneza kwa ajili yao au waje watuuzie..
Ndiyo; na inakuwa ni uonevu mkubwa zaidi pale unapomkuta nyoka yuko porini ( kwenye makazi yake halali)halafu unamwua. Inasikitisha sana.Kumbe wengine huwa tunawaua kwa kuwaonea tu hawana sumu
Kwenye urefu wa cobra na chatu nimechanganyikiwa,nani mrefu zaidi akiwa huru
Mbona annaconda sijawaona
Ndiyo; na inakuwa ni uonevu mkubwa zaidi pale unapomkuta nyoka yuko porini ( kwenye makazi yake halali)halafu unamwua. Inasikitisha sana.
Kwa mtizamo wako huo; Je, bunduki, panga na silaha unazozijua sio muhimu? lakini mbona zinaua. Ni ww kuchukua tahadhari ukijua madhara yatokanayo.Kwamba nyoka ni muhimu ulishawahi kuishi vijijini na KUSHUHUDIA wanavyoua
Nini kilikupeleka kwenye makazi yake? Je, ww mtu usiyemjua akija kwako huku kabeba silaha utatulia na kumkaribisha mkuu?Nyoka kama black mamba ambaye anasumbua watu bila sababu za msingi nani amemchokoza?
South Africa kwa mfano wanaenda kwenye makazi kutafuta msosi
Yeah. Lazima uwe na ujuzi au uzoefu wa namna ya kumshika (Taz. picha.) usije ukam'binya/kandamiza vinginevyo atajitetea kwa kukung'ata kwani unamwumiza.Sina maskhara na hicho kiumbe
Sio kweli hata kidogo. Sauti ya nyoka wengi ni ile ya "shshshshs" hissing sound. Wapo wenye kitu mkiani kinachotoa sauti kama mchakacho wa haraka- chrrrp' ...Chrrp' Yote kwa yote sauti ya nyoka lengo huwa ni kutoa 'Onyo" .i.e....Usije hapa; usinikaribie hapa; Tahadhari ondoka...n.k. Ukikaza fuvu anakugonga chap' . Chatu mkubwa hutoa sauti (akichokozwa) inayofanana kwa mbali kama mngurumo wa kupuliza ref. sauti itolewayo na kinyonga) kabla ya kukimbia au kukugonga. "Pbffffffuu.......Pbfffffuu"Chatu huyo. Yule aliyekomaa analia kama kondoo au jogoo
Nakubaliana na wewe kwa kiasi....lakini pia kumbuka wabongo ni wakorofi wa asili I mean tangu akiwa mtoto....kuponda nyau au mbwa akiwa amejipumzikia ni suala la kawaida.Hizi story za kibongo kuhusu black mamba nyingi ni zakutunga tu. Mara eti anawika kama jogoo mara anakimbiza mtu. Zote ni uongo mtupu.
Sijakataa kuwa black mamba ni nyoka ambae ni aggressive na hatari lakini kuna chumvi nyingi sana zisizo na uhalisia kuhusu huyu nyoka kwenye soga za wabongo.
Huyo nyoka ni kichaa ila sio kichaa km wanavyomzungumzia ingawa ni kweli anapenda kulipa kisasi hata kwa mtu ambae hajamchokoza ndio maana nyoka wanapenda kujifichakoboko wa watu alikua zake amejipumzikia au anatafuta riziki