Baada ya Yanga kutinga makundi mwaka 1998, iliwachukua miaka mingapi Simba kutinga hatua ya makundi CAFCL?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,098
144,560
Hawa jamaa kutuwa kujisifia kutinga hatua ya makundi kombe la Club Bingwa Afrika (CAFCL) unadhani walianza kushirika hatua hiyo miaka mingi sana huko nyuma wanasahau wakati Yanga anatinga hatua hiyo mwaka 1998, wao walikuwa na miaka mingi tu hawajafikia tena hatua hiyo.

Sasa watuambie , miaka hii mitatu au minne walioshirika, ndio ya kuwafanya wapige makelele wakati na wao walikaa miaka mingi tu kabla ya kufika hatua?

Tuambieni, baada ya Yanga kutinga makundi mwaka 1998, iliwachukua muds gani na nyie kufikia hatua hiyo mpaka mpige makelele yote haya?

Pia, tuambieni, na nyinyi hio miaka mingine mlikuwa mnafanya nini mpaka mpate uhalali wa
kujishau(in wadada voice)?

Kwa taarifa yenu, sisi tunakwenda kutinga hatua ya makundi na tutafanya jambo la tofauti na nyie hata robo safari hii hamfiki.
 
Hawa jamaa kutuwa kujisifia kutinga hatua ya makundi kombe la Club Bingwa Afrika (CAFCL) unadhani walianza kushirika hatua hiyo miaka mingi sana huko nyuma wanasahau wakati Yanga anatinga hatua hiyo mwaka 1998, wao walikuwa na miaka mingi tu hawajafikia tena hatua hiyo.

Sasa watuambie , miaka hii mitatu au minne walioshirika, ndio ya kuwafanya wapige makelele wakati na wao walikaa miaka mingi tu kabla ya kufika hatua?

Tuambieni, baada ya Yanga kutinga makundi mwaka 1998, iliwachukua muds gani na nyie kufikia hatua hiyo mpaka mpige makelele yote haya?

Pia, tuambieni, na nyinyi hio miaka mingine mlikuwa mnafanya nini mpaka mpate uhalali wa
kujishau(in wadada voice)?

Kwa taarifa yenu, sisi tunakwenda kutinga hatua ya makundi na tutafanya jambo la tofauti na nyie hata robot safari hii hamfiki.
Dah.....hivi hii habari ni ya Kweli ee ? Since 1998.?
 
Kumbe ni kweli tokea 1998,duuuh nilijuaa ni umbea tu.Huo ni muda mrefu sana aisee.

Sasa huo ukubwa wanaojidai nao ni upi wakati kwenye mashindano ya wanaume hawapo miaka karibia 28 iliyopita???

Au ndio ukubwajinga???

Kumbe inauma eeeeeeeeh???

Kazaneni sasaaaa!!!!!!!!

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kumbe ni kweli tokea 1998,duuuh nilijuaa ni umbea tu.Huo ni muda mrefu sana aisee.

Sasa huo ukubwa wanaojidai nao ni upi wakati kwenye mashindano ya wanaume hawapo miaka karibia 28 iliyopita???

Au ndio ukubwajinga???

Kumbe inauma eeeeeeeeh???

Kazaneni sasaaaa!!!!!!!!

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyie mlikaaa miaka mingapi?
 
Nina wasiwasi mkubwa kuhusu timu ya simba kuvuka hatua ya robo fainali iwapo watacheza ule mpira waliocheza jana dhidi ya Power Dynamos ya Zambia.

Kwa upande wa Yanga sina wasiwasi hata kidogo. Hawa jamaa wanaweza kufanya makubwa tena msimu huu. Kasoro yao kubwa iko kwenye striking force yao tu, ambayo bado haina utulivu wa kutosha.
 
Yani dume halafu unaandika mipasho kama mwanamke tukuelewe vp?
Katoa maelezo mazuri tu kwa takwimu. Ila tatizo linaanzia ameandika usichokipenda. Angeandika ya kuisifia simba ndio angeonekana mwanaume? Nyie mashabiki wa mikia wengi ni watoto,hamtaki kusikia kingine kutoka upande mwingine hamna uvumilivu kama walivyo na uvumilivu mashabiki wa YANGA.
 
Kumbe ni kweli tokea 1998,duuuh nilijuaa ni umbea tu.Huo ni muda mrefu sana aisee.

Sasa huo ukubwa wanaojidai nao ni upi wakati kwenye mashindano ya wanaume hawapo miaka karibia 28 iliyopita???

Au ndio ukubwajinga???

Kumbe inauma eeeeeeeeh???

Kazaneni sasaaaa!!!!!!!!

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Simba toka afike nusu fainali mwaka 72,makundi waliingia 2003,piga hesabu
 
1998, 1999, 2000, 2001, 2002, 2003,2004, 2005, 2006,2007,2008,2009,2010,2011,2012, 2013,2014,2015,2016,2017,2018,2019,2020,2021, 2022,2023 kukaribia kushiriki tu tayari ni club ya 3 kwa ukubwa Africa.
Screenshot_20230917-150250_WhatsApp.jpg
 
Hawa jamaa kutuwa kujisifia kutinga hatua ya makundi kombe la Club Bingwa Afrika (CAFCL) unadhani walianza kushirika hatua hiyo miaka mingi sana huko nyuma wanasahau wakati Yanga anatinga hatua hiyo mwaka 1998, wao walikuwa na miaka mingi tu hawajafikia tena hatua hiyo.

Sasa watuambie , miaka hii mitatu au minne walioshirika, ndio ya kuwafanya wapige makelele wakati na wao walikaa miaka mingi tu kabla ya kufika hatua?

Tuambieni, baada ya Yanga kutinga makundi mwaka 1998, iliwachukua muds gani na nyie kufikia hatua hiyo mpaka mpige makelele yote haya?

Pia, tuambieni, na nyinyi hio miaka mingine mlikuwa mnafanya nini mpaka mpate uhalali wa
kujishau(in wadada voice)?

Kwa taarifa yenu, sisi tunakwenda kutinga hatua ya makundi na tutafanya jambo la tofauti na nyie hata robot safari hii hamfiki.
Nashukuru umewanyoosha
 
Nina wasiwasi mkubwa kuhusu timu ya simba kuvuka hatua ya robo fainali iwapo watacheza ule mpira waliocheza jana dhidi ya Power Dynamos ya Zambia.

Kwa upande wa Yanga sina wasiwasi hata kidogo. Hawa jamaa wanaweza kufanya makubwa tena msimu huu. Kasoro yao kubwa iko kwenye striking force yao tu, ambayo bado haina utulivu wa kutosha.
Umekula lakini?.
 
Back
Top Bottom