Sababu zinazo wafanya simba kuingia hatua ya makundi ligi ya mabingwa kuwa rahisi kuliko yanga

ngwayamani

New Member
Jan 30, 2024
1
1
Kama kichwa kinavyo sema hapo juu ,ukiangalia mpira wetu utaona kuwa yanga imekuwa bora kwa miaka 3 sasa ila unajua kwanini bado kuingia makundi inakuwa ngumu basi sababu ni RANKING Simba ilijikusanyia rank nyingi na siku zote wenye rank nyingi upangiwa na timu ndogo ,hata kama timu ndogo nazo zinajijenga

Mfano memosas afisa habari wa simba alisema yanga ilikutana na timu ndogo ndomana wamefika fainali ila ndoiyoyo inayowapelekea moto kwenye kundi lao kwa mantiki hiyo unaona jinsi gani timu ndogo zinaimalika na sio kusema zimefiki hatia fulani kisa timu kubwa azijashiriki ,kwa mtu yoyote anayejua mpira alishatambua yanga kuingia hatua ya makundi ni raisi kwasababu washapata rank nyingi msimu uliopita .

kwaiyo tukubali kuwa simba imeshuka kiwango kuingia hatua ya makundi si sababu ya kuwa bora wakati rank zinawabeba ndoomana wanaishiaga robo fainali kwasababu wanakutana na wenye rank nyingi wenzao hata yanga msimu huu katika ligi ya mabingwa ushindani wao unaanzia hatua ya makundi wakivuka tutasema wamepiga hatua na si kuingia hatua ya makundi

Azam anateseka kwasababu ya rank Ila siku akiitwa na kufika angalau robo shirikisho basi kuingia hatua ya makundi haitakuwa ngumu,

RANKING NDOZINAWAFANYA TIMU KUBWA KUINGIA HATUA YA MAKUNDI KUWA RAISI MFANO AL AHLY MARA KIBAO WANAPANGIWAGA NA KMKM TOKA ZANZIBAR.
uzi kutoka kwa TEACHER OF TEACHERS
 
Kama kichwa kinavyo sema hapo juu ,ukiangalia mpira wetu utaona kuwa yanga imekuwa bora kwa miaka 3 sasa ila unajua kwanini bado kuingia makundi inakuwa ngumu basi sababu ni RANKING Simba ilijikusanyia rank nyingi na siku zote wenye rank nyingi upangiwa na timu ndogo ,hata kama timu ndogo nazo zinajijenga

Mfano memosas afisa habari wa simba alisema yanga ilikutana na timu ndogo ndomana wamefika fainali ila ndoiyoyo inayowapelekea moto kwenye kundi lao kwa mantiki hiyo unaona jinsi gani timu ndogo zinaimalika na sio kusema zimefiki hatia fulani kisa timu kubwa azijashiriki ,kwa mtu yoyote anayejua mpira alishatambua yanga kuingia hatua ya makundi ni raisi kwasababu washapata rank nyingi msimu uliopita .

kwaiyo tukubali kuwa simba imeshuka kiwango kuingia hatua ya makundi si sababu ya kuwa bora wakati rank zinawabeba ndoomana wanaishiaga robo fainali kwasababu wanakutana na wenye rank nyingi wenzao hata yanga msimu huu katika ligi ya mabingwa ushindani wao unaanzia hatua ya makundi wakivuka tutasema wamepiga hatua na si kuingia hatua ya makundi

Azam anateseka kwasababu ya rank Ila siku akiitwa na kufika angalau robo shirikisho basi kuingia hatua ya makundi haitakuwa ngumu,

RANKING NDOZINAWAFANYA TIMU KUBWA KUINGIA HATUA YA MAKUNDI KUWA RAISI MFANO AL AHLY MARA KIBAO WANAPANGIWAGA NA KMKM TOKA ZANZIBAR.
uzi kutoka kwa TEACHER OF TEACHERS
.
JamiiForums592774928.jpg
 
Naona mmoja tayari ameshakuja. Na wengine watafuata kwa lengo tu la kumtukana mtoa mada, badala ya kumuelimisha tu kama hayuko sahihi.
 
Wydad anaburuza mkia na ranking yake. Ranking haichezi mpira bali ni ubora wa timu
Hujamuelewa mtoa mada, anasema simba ni rahisi kuingia makundi kwakuwa caf imemuweka simba kwenye kundi la wakubwa kwahiyo anapangiwa wadogo kwenye hatua za mtoano, halafu yanga yupo kwenye kundi la wadogo kwahiyo anapangiwa wakubwa inamfanya kupambana sana ili atoboe, ndiomaana kwenye hii miaka mitatu ya ubora wa yanga kacheza makundi ya caf cl mara moja tu
 
Simba amekusanya ranking home boy? Fanya marekebisho sasa usiwape uto sababu

Simba amekusanya point ndio ulitakiwa kuandika hivyo
 
Hujamuelewa mtoa mada, anasema simba ni rahisi kuingia makundi kwakuwa caf imemuweka simba kwenye kundi la wakubwa kwahiyo anapangiwa wadogo kwenye hatua za mtoano, halafu yanga yupo kwenye kundi la wadogo kwahiyo anapangiwa wakubwa inamfanya kupambana sana ili atoboe, ndiomaana kwenye hii miaka mitatu ya ubora wa yanga kacheza makundi ya caf cl mara moja tu
Caf haijamuweka Simba kwenye kundi la wakubwa,Simba ndio wamejiweka kwenye hilo kundi la wakubwa kutokana na matokeo yao waliyoyatengeneza kwa miaka mitano nyuma hata Azam na Yanga nao wanaweza jitengenezea hiyo nafasi maana hata Simba alianzia huko walipo sasa
 
Lini uto alicheza na asec na sisi SIMBA mnyama tukabeza kwamba mmecheza na kibonde? unazeeka vibaya mzee sasa.
 
Caf haijamuweka Simba kwenye kundi la wakubwa,Simba ndio wamejiweka kwenye hilo kundi la wakubwa kutokana na matokeo yao waliyoyatengeneza kwa miaka mitano nyuma hata Azam na Yanga nao wanaweza jitengenezea hiyo nafasi maana hata Simba alianzia huko walipo sasa
Simba huyu aliepigwa tano, ama Simba ipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom