Hata yeye ndugai alikuwa na wajibu wa kuwakumbusha taratibu za kutoa taarifa watu wake wapatapo udhuru, kiongozi mzuri afurahii kupoteza watu wake Bali uwaongoza watu wake.Mbunge Mkono nae ameshamtaarifa juu ya kutokuwepo kwake bungeni,ili isionekana ni dabo standard.