zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 10,142
- 21,472
kwa mara ya kwanza maamuzi ya mahakama yanasema 'naogopa gonganisha mihimili' hahahahahaha alafu ndugai na ww mna tafsiri lissu kashindwa hahahahaha mambo ya aibu sana hayaYawe yakipunguani au la
Huyo mtundu Lisu sio Mbunge
Habari ndio hiyo