Baada ya Tundu Lissu kuangukia pua Mahakamani, Spika Ndugai asema ukiheshimu mamlaka huwezi kupata matatizo

20190909_211253.png

La kuchumpa la kumpa ufipa.
Hahahaaaaa
 
Kilichowafanya wasipinge uchaguzi ilikuwa nini?mistake ya kwanza nikutopinga uchaguzi
Uchaguzi haukupingwa sababu hakuna kosa kwenye Tume ya uchaguzi wala mgombea.

Mfano: wewe ni mwanafunzi, siku zote unawai shule sababu madawati darasani kwenu ni machache, sasa siku moja mama yako akachelewa kukuandalia Chai, ukachelewa shule, ukakuta dawati lako ambalo kila siku huwa unawai unalikalia mwalimu kampa mwanafunzi mwingine akalie. Hapo kesi yako ni na mwalimu, mwanafunzi au mama yako? Ukianza kugombana na mwanafunzi au yule mwalimu utakuwa na tatizo. Wa kugombana nae ni mama yako. Lisu ana ugomvi na spika na sio Mbunge aliyechukua nafasi yake wala Tume ya uchaguzi.

Sema swali la kujiuliza ni kwann TL hakutoa taarifa bungeni baada ya kuwa na fahamu kama ni protocol za bunge? Angemtuma hata mtu awe anamjazia hizo fomu.
 
Baada ya Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam kutoa uamuzi wake ambapo Tundu Lissu ameangukia pua, Spika Job Ndugai amesema kwamba kama watu wakiheshimu mamlaka yaliyopo basi huwezi kupata matatizo.

Spika Ndugai amezidi kusema...

"Mambo haya pengine mtayasikia wenyewe huko nje, mimi sitaki kuyasema.
Mambo haya ukiheshimu mamlaka huwezi kupata matatizo haya, haiwezekani bahati mbaya Spika hawezi jitokeza kila wakati kujibu kila mtu anaenda kwenye mitandao sijui ningeweka wapi sura yangu.

Hivi kumjulisha Spika kwamba mheshimiwa kuwa mimi sitaweza kuhudhuria bunge hili la 16 kwa kuwa nipo kwenye matibabu unaweza kunipigia simu au kuandika message taarifa utakua umetoa.

Kwa hiyo mengine yote unafanya isipokua kumwambia Spika mwaka unapita tuu nakuona, mengine yote unaweza kufanya ila kuwasiliana na huyu Spika haiwezekani itafika mahali watu wataruka na wewe tu na usipige kelele umeyataka mwenyewe kwa sababu taaratibu mnazijuaa. Kwa hiyo waheshimiwa wabunge Tukifuata taratibu wala hatutagombana

Habari ya zile fomu, zile za maaadili ni lazima tujaze ni takwa la katiba hata Mh Mbowe aliniandikia barua aliopokua gerezani mwezi wa 12 kwa mba nipo sehemu ambapo siwezi kujaza zile fomu nipo gerezani Segerea lakini nikitoka ntazijaza kwani kulikuwa kuna ugomvi alivyotoka alijaza lakini husemi , huandiki, huwasiliani wala hufanyi nini, wewe unapuyanga na yako ukitoka una yako"
Yeye alipo mtandika mgombea mwenzake bakora la haja mbona mbona watu walimstahi?
 
Sasa kwani ni kipi kingine kilitegemewa kitoke kwenye kinywa chake kinachonuka ?
 
Mungu hadhihakiwi hivi.

Sasa kama Ndugai hakujua Lissu aliko ile Micha go aliyochangisha wa Bunge ilikuwa ya nini?

Kama Ndugai hakuwa anajua Lissu alipo ile safari aliyolitangazia Taifa kuwa angeifanya kwenda kumtembelea mgonjwa Nairobi alikuwa anafikiri angeifanyeje? Ilikuwa iwe safari binafsi au official?
 
Mungu ni mkali wa kuadhibu, ndo maana anaitwa mungu kibidu leo kwa Tundu Lissu kesho kwa Ndugai...zamu yake iko jikoni
 
Baada ya Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam kutoa uamuzi wake ambapo Tundu Lissu ameangukia pua, Spika Job Ndugai amesema kwamba kama watu wakiheshimu mamlaka yaliyopo basi huwezi kupata matatizo.

Spika Ndugai amezidi kusema...

"Mambo haya pengine mtayasikia wenyewe huko nje, mimi sitaki kuyasema.
Mambo haya ukiheshimu mamlaka huwezi kupata matatizo haya, haiwezekani bahati mbaya Spika hawezi jitokeza kila wakati kujibu kila mtu anaenda kwenye mitandao sijui ningeweka wapi sura yangu.

Hivi kumjulisha Spika kwamba mheshimiwa kuwa mimi sitaweza kuhudhuria bunge hili la 16 kwa kuwa nipo kwenye matibabu unaweza kunipigia simu au kuandika message taarifa utakua umetoa.

Kwa hiyo mengine yote unafanya isipokua kumwambia Spika mwaka unapita tuu nakuona, mengine yote unaweza kufanya ila kuwasiliana na huyu Spika haiwezekani itafika mahali watu wataruka na wewe tu na usipige kelele umeyataka mwenyewe kwa sababu taaratibu mnazijuaa. Kwa hiyo waheshimiwa wabunge Tukifuata taratibu wala hatutagombana

Habari ya zile fomu, zile za maaadili ni lazima tujaze ni takwa la katiba hata Mh Mbowe aliniandikia barua aliopokua gerezani mwezi wa 12 kwa mba nipo sehemu ambapo siwezi kujaza zile fomu nipo gerezani Segerea lakini nikitoka ntazijaza kwani kulikuwa kuna ugomvi alivyotoka alijaza lakini husemi , huandiki, huwasiliani wala hufanyi nini, wewe unapuyanga na yako ukitoka una yako"
Anasemaje huyo msengengoma.
 
Namkumbusha Ndugai, asijelewa sifa. Mamlaka huwa hayadumu maishani. Asije tafuta huruma ya wananchi.
 
Mpumbavu wewe, tena ulaaniwe na ukoo wako wote. Acha kumuhusisha Mungu na serikali ya mahayawani hii.
Na hakuna anaye waomba Wasaliti na Vibendera kuasiadia au kuhuzunika pale ndeze za Tanzania zinapo kamatwa
Wacha ujinga
Hiyo ni teila bado dawa itawaingia
Hii ni mamlaka iliyo wekwa na Mungu
Nyie mashetani hamta weza kamwe
 
HII NDIO TATHMINI YANGU; Siku moja nilitoka Mahakamani nikiwa na masikitiko sana juu ya taaluma yetu ya habari na uhuru wa mawazo kwa ujumla.

Nikiwa mwanahabari niliyefanikiwa kuhudhuria mwanzo-mwisho na kuandika kesi ya Lissu kupigania ubunge wake, nimeyaona mengi.

Kituko cha kwanza ni jinsi tulivyojengewa, na wahariri wetu, wakaikubali dhana kuwa hii ilikuwa kesi ya Lissu na Ndugai.

Siku moja niliwaambia pale Mahakamani waandishi wenzangu kuwa kesi hii kashitakiwa pia AG wa Serikali ndio maana kuna mawakili wengi wasomi pale kutoka Ofisi ya AG na Wakili Mkuu wa Serikali...bado baadhi wakaona nakosea wakaendelea kuandika dhana ya Lissu v Ndugai.

Hata mawakili wa Lissu kama Kibatala wakasahau hili na kutaka kila mara kuonesha ni kama vile kesi ile ilikuwa ya viongozi hao wawili na wakasahau kujenga hoja nyingine muhimu za kikatiba.

Mawakili wa AG na Wakili Mkuu wa Serikali walisimama katika hoja, wale wa Lissu wakawa na mbwembwe nyingi Mahakamani.

Wadau wao nao wakawa wanatuma mitandaoni mbwembwe nyingi kuonesha eti mawakili wa Lissu wanaibana Mahakama au Serikali!

Siku moja nilimsikiliza Wakili kutoka Ofisi ya AG nikawaambia wenzangu, sikusoma sheria lakini kwa uzoefu wangu wa kutipoti kesi mbalimbali miaka 6 sasa hii kesi ngumu kwa Kibatala na Lissu.

Yule wakili alikuwa mtulivu, alijenga hoja zake katika masuala magumu ya kikatiba na kisheria akionesha kwa nini uamuzi wa Spika aliyetumia taratibu za Kibunge hauwezi kuhojiwa kortini. Waandishi wengi hatukuandika hoja zake zilikuwa nzito lakini ngumu kuzielewa.

Nilimuona Kibatala akijibu akitumia hoja za mbwembwe kuonesha sijui Lissu alitembelewa hospitali na Makamu wa Rais na mawakili wengi wakawa wanatikisa kichwa kwamba anaenda nje ya mada.

Leo kiko wapi, hukumu imetoka na Lissu kaangushwa kama baadhi yetu tulivyoona awali.

Mawakili wa Chadema wajitathmini, nimewaona mara kadhaa wakitumia mbwembwe sana zaidi ya sheria, hata kama zipo mara chache wamefanikiwa, mara nyingi wanawaangusha wateja wao kama hivi.
 
Hilo ni kweli. Na siku hizi utaona wanakimbilia mitandaoni kuonyesha maswali waliyokuwa wanauliza mashahidi.
Unajua taaluma ukishachanganya na siasa + uanaharakati + sifa za kijinga lazima taaluma izame shimoni. Wajitathmini upya hao wanaoitwa mawakili wasomi. Vinginevyo wataishia kuwa wasindikizaji.
 
Ni masikitiko k uona vyema vya upinzani havioneshi weledi wala kujua sheria na haki katika kila jambo, na hasa haki zao za kufanya shughuli za mikutano n.k. unabaki ukijiuliza you uchaguzi wa mwakani si utakuwa vioja tupu.
 
Kwa hiyo we na akili yako ulitegemea lissu angeshinda kesi ile,kama ni hivyo rudi darasani shule ukamdai mwalimu pesa yako maana hajakufundisha kitu,pili jiulize katika jimbo lile mashabiki wengi ni wa chama gani
 
Back
Top Bottom