LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Ndugai anashangilia uharamu wake, hivi kiongozi mzima unashindwa kumtafuta mbunge wako kwenye simu Na kumjulia hali huku kashambuliwa akiwa kazini kwa risasi lukuki? Ndugai Ni miongoni mwa wagogo makatiri sana.