Baada ya Tulia Ackson kuchukua fomu ya kuomba Uspika, kwanini nafasi ya Naibu Spika nayo isitangazwe kuwa wazi?

Mimi nasubiri kuona kama kutakua na Yale mambo ya kutekana na kupora fomu kama walivyokua wakifanyiwa wapinzani wakati wa kurudisha form za ubunge.
 
Katika majina yanayotajwa mpaka muda huu kwamba yamechukua fomu ya kuomba Uspika, limo jina la Naibu Spika Tulia Ackson, kwa maana hiyo ni kwamba huyu mama hautaki unaibu Spika...
CCM hawanaga vitu kama hivyo,akipatia fursa anagombea na akikosa anarejea kwenye kiti kwa kasi ya nyati aliyejeruhiwa.Wanataka vyote ikibidi,Uroho wa Madaraka tu!

Unaweza kuta Ndugai naye bado anataka kurudi na ndiyo maana barua alipeleka kwa Chongolo ili akanushe kujiuzulu-Lipumba style.
 
Back
Top Bottom