Baada ya Tulia Ackson kuchukua fomu ya kuomba Uspika, kwanini nafasi ya Naibu Spika nayo isitangazwe kuwa wazi?

Wakati mwendazake anamteua GAG mpya Prof. Assad alikuwa bado CAG. Yani unaenda kazini asubuhi unakuta kuna njemba imekalia kiti chako

Usishangae tukajikuta tuna mtu mmoja ambaye ni Spika na Naibu Spika kwa wakati mmoja.

Hakuna linaloshindikana kibongobongo
Jamaa alikuwa na roho ya kishetani.
Dr Mahiga alifariki,ratiba za mazishi zikiendelea yeye kamteua Madelu nakumuapisha.
 
Jamaa alikuwa na roho ya kishetani.
Dr Mahiga alifariki,ratiba za mazishi zikiendelea yeye kamteua Madelu nakumuapisha.
Philip Mpango alitolewa wodini aongee na waandishi wa habari ili kuthibitisha hana corona. Na cannula yake mkononi mzee aliongea kwa tabu huku anakooa almanusura roho iuache mwili...
 
Tulia hajafanya kosa, kinachofanyika sasa ni mchakato wa ndani ya Chama, hivyo kama Chama chake kitampitisha kuwa mgombea basi atatakiwa kuachia cheo chake, lakini kwa sasa ni mchakato wa ndani wa Chama Chake
 
Wakuu Habari ya Asubuhi.

Je Ni Nini Kinatakiwa Kutangulia?
1) Kuchukua Form Kwanza
2) Kujiuzulu Unaibu Spika Kwanza
3) Au Business as Usual:-

Funika Kombe Mwanaharamu Apite?.

Sent using Jamii Forums mobile app

0A413430-33D1-44A7-8CFC-6FF8047327E9.jpeg
 
Katika majina yanayotajwa mpaka muda huu kwamba yamechukua fomu ya kuomba Uspika, limo jina la Naibu Spika Tulia Ackson, kwa maana hiyo ni kwamba huyu mama hautaki unaibu Spika, na ndio maana anauomba Uspika kamili, na bila shaka ameondoka kwenye ofisi ya Naibu Spika kwa lengo la kuepusha Conflict of Interest.

Natoa wito kwa Wahusika kutangaza pia Nafasi ya Naibu Spika Kuwa wazi.

Naomba kuwasilisha.
Ni mnafiki tu mchumia tumbo. Anakimbilia yale Mafao ya Uspika hadi akili zinamtoka.
 
kuna haja ya kuweka pingamizi dhidi ya naibu wa spika au tuache tu mwanaharamu apite
 
Navohisi hii ananafasi kubwa ya kushinda . Ukiona amejitoa kwa ujasiri mkubwa ujue tayari ameshaandaliwa kwa kupewa kiti cha uspika kwa kigezo cha uzoefu. Itunze hii tutakuja kuitumia baadae
kwani ameishajitoa?je na katiba inasemaje kuhusu hilo.mtujuze wabobezi wa sheria.
 
Katika majina yanayotajwa mpaka muda huu kwamba yamechukua fomu ya kuomba Uspika, limo jina la Naibu Spika Tulia Ackson, kwa maana hiyo ni kwamba huyu mama hautaki unaibu Spika, na ndio maana anauomba Uspika kamili, na bila shaka ameondoka kwenye ofisi ya Naibu Spika kwa lengo la kuepusha Conflict of Interest.

Natoa wito kwa Wahusika kutangaza pia Nafasi ya Naibu Spika Kuwa wazi.

Naomba kuwasilisha.
Unatoa wito kama nani, kwani sheria inasemaje? Tujikite hapo
 
Navohisi hii ananafasi kubwa ya kushinda . Ukiona amejitoa kwa ujasiri mkubwa ujue tayari ameshaandaliwa kwa kupewa kiti cha uspika kwa kigezo cha uzoefu. Itunze hii tutakuja kuitumia baadae
Hajaandaliwa Bali uwezo na uzoefu vinamfanya kuwa mgombea mwenye mvuto zaidi ya wengine
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom