Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,674
- 218,183
Katika majina yanayotajwa mpaka muda huu kwamba yamechukua fomu ya kuomba Uspika, limo jina la Naibu Spika Tulia Ackson, kwa maana hiyo ni kwamba huyu mama hautaki unaibu Spika, na ndio maana anauomba Uspika kamili, na bila shaka ameondoka kwenye ofisi ya Naibu Spika kwa lengo la kuepusha Conflict of Interest.
Natoa wito kwa Wahusika kutangaza pia Nafasi ya Naibu Spika Kuwa wazi.
Naomba kuwasilisha.
Natoa wito kwa Wahusika kutangaza pia Nafasi ya Naibu Spika Kuwa wazi.
Naomba kuwasilisha.