Baada ya Rombo kupandisha bendera ya Kenya Sasa Mbeya wajitangazia nchi na Rais wao!

U great thinker wako ni wa kitoto kama umeshindwa kuwaelewa wana Mbeya wamemaanisha nini,kaa chini tafakari utapata jibu usilete bla bla zako hapa.
I have never been a great thinker...

sikiliza wewe kichomi...

malawi, Uganda failed because of faction approach... we dont have a national approach, we dont have a common agenda kwa sasa, hebu niambie kama kweli tuko serious unaweza kumweka sugu awe rais wa mbeya?? do you expect positive change?? tena bila uchaguzi?? what are we learing from this?? we learn that there is a need for retracting, relook at our approach and have a common national surge that is well coordinated.

our common agenda ni human rights, basic needs, corruption and selfish leader and above all bad leadership and governance... sio kumweka sugu kuwa rais wa mbeya au rombo kupandisha bendera ya kenya (which to me is the stupidest thing ever!) bora hata wangeweka ngozi ya mbuzi basi... yaani Kenya?? they wish to be in Kenya or what??

Sasa sugu (whom i respect alot) leo anatawazwa kuwa rais wa mbeya, ccm wakianguka mbeya kaputi, je tutafanya uchaguzi wa rais mpya au ndio basi tena keshatawazwa kuwa rais??

ANYWAY, WANSEMA LILA NA FILA HAVITANGAMANI.... NAOMBA NIISHIE HAPO AND BY THE WAY I AM NEVER A GREAT THINKER, I AM JUST A TANZANIA WHO HAPPEN TO BE A JF MEMBER AND FREE TO EXPRESS MYSELF HATA KAMA HUPENDI

Tunapoteza maana ya mabadiliko... we want change YES
 
Hivi kama nguvu ya umma ikiweza kuing'oa serikali ya magamba madarakani na kikaingia chama kingine madarakani na kuboresha maisha ya waTZ je polis watafurahia hayo maisha bora au la? Kama watafurahia kwanini wanazuia watu kudai haki zao? Kama hawatafuraia wakaze buti na kubuni taarifa za kiintelejensia na kufanya mazozi yakukabiliana na maandamano zaidi. Au wamefurahia kuishi kwenye magofu ambayo mtu ukiambiwa yanaishi watu htwezi amini namaanisha kota za polis ni chafu mbaya zaidi ya nyumba iliyodondokewa na bomu

Ndugu napenda kukufahamisha kuwa polisi wa ngazi za chini hawapendi kabisa yale yanayoendelea dhidi ya vyama vya upinzani lakini watafanya nini wakati wao wanapewa amri na mabosi wao! chukulia mfano wa misri mwanzo wa maandamano polisi walikuwa wakiwashughulikia wananchi lakini mamabo yalipozidi wao pia waliunga mkono, mfano mwingine juzi tu pale marekani wananchi waliteka Wall street polisi waliwashughulikia alkin polisi mmoja alipohojiwa yuko upande gani jibu lake lilikuwa " Am among the 99%" akiwa na maana kuwa hata yeye alikuwa anaunga mkono waandamanaji ila pale alikuwa " ofisini" Juzi pale Arusha polisi wa ngazi za nchi walimuambai Mh. Mbowe, mzee yamalizeni haya sisi tumechoka" so hata polisi hasa wa ngazi za nchi hawapendi yale wayatendayo lakini sasa wafanyaje nao wako " ofisini"
 
Pole mkuu,
tunalipia gharama za uhuru, new memberz ni wengi.... Hata wale old waliyumba kidogo na post yako labda hukufunguka kama hvi...
Suala hili la mbeya, hata kwa sisi lililotugusa kwa furaha sio kwamba hatujaona hayo matundu, ila ni vile inafahamika kuwa hyo ni kama mbinu tu za kumtia jazba mtawala na kumtusi lakini hakuna hata lepe la ukweli katika tangazo hilo,
hebu kumbuka lile bango alibebaga mtoto tena hukohuko mbeya akimwambia Jk kuwa "kama nchi imekushinda nipe mimi" nadhani unalikumbuka hlo bango kaka, lilipata kuwa kwenye front page ya gazeti la Mwanahalisi na Mwananchi, natamani ningekuwa na pc hapa ningekuwekea hapa ila najua kuna mwanajamvi ataiweka!
Hatuwezi tukapandisha jazba kwa mabango kwenye harakati, coz agenda ya hzo harakati za machinga zinafahamika na hayo mabango yanaandikwa tu vijiweni.
Pia chukua mda kumbuka yale mabango mliwahi kuandika kipindi kile cha migomo UD....
So mkuu hayo ni mabango tuu, nadhani next time tutakuwa na mjadala mpana zaidi katika mchango wa mabango kwenye maandamano.
Kwa kupitia siasa za kujitenga kama mifano ya nchi tofauti duniani tunaweza kusema kwenye suala la mbeya hatujafikia huko wala japo kwasasa tunaweza kusema hamna sehemu yoyote kwenye nchi yetu imewaza kufanya hivyo, wote bado tunaamini katika UKOMBOZI WA PAMOJA.
Japo kuna maeneo lazima yatatuongoza,
So mkuu just ulitumia darubini ya mbali sana ndo maana ukaita huu ni upuuzi (kitu ambacho ni kweli ukifika mda wake utaitwa upuuzi ila sio sasa).
Napenda niyarudie tena maneno yangu ya kwenye post iliyotangulia kuwa "HII NDIO NJIA PEKEE ILIYOBAKI, KATIKA KUELEKEA MUAFAKA MPYA WA KIJAMII KATIKA KUTAWALANA NA KUONGOZANA"
Pamoja kiongozi MTM!
pAMOJA SANA NA MKUU NIMEELEWA VYEMA ZAIDI MCHANGO HUU NA DHIMA YOTE

just a word of caution, sometimes inakua vigumu kujua nini kinaishia wapi... na labda niwe muwazi zaidi... ningependa a national movement kama tulizoshuhudia the asian tiger countries na zile coordinated hartal zinazoendelea nchi kama bangladesh

time will tell, and you have my respect as always
 
Kama rais hajui kwa nini wananchi wake ni masikini ni dhahiri hajui aliomba kwa pesa tele za kuhonga kuwa rais kwa sababu gani au ili afanye nini nalo hajui!!!analea mafisadi akiwemo mwanae!!time will tell sijui atawashikaje media akimaliza muda wake!!
 
I have never been a great thinker...

sikiliza wewe kichomi...

malawi, Uganda failed because of faction approach... we dont have a national approach, we dont have a common agenda kwa sasa, hebu niambie kama kweli tuko serious unaweza kumweka sugu awe rais wa mbeya?? do you expect positive change?? tena bila uchaguzi?? what are we learing from this?? we learn that there is a need for retracting, relook at our approach and have a common national surge that is well coordinated.

our common agenda ni human rights, basic needs, corruption and selfish leader and above all bad leadership and governance... sio kumweka sugu kuwa rais wa mbeya au rombo kupandisha bendera ya kenya (which to me is the stupidest thing ever!) bora hata wangeweka ngozi ya mbuzi basi... yaani Kenya?? they wish to be in Kenya or what??

Sasa sugu (whom i respect alot) leo anatawazwa kuwa rais wa mbeya, ccm wakianguka mbeya kaputi, je tutafanya uchaguzi wa rais mpya au ndio basi tena keshatawazwa kuwa rais??

ANYWAY, WANSEMA LILA NA FILA HAVITANGAMANI.... NAOMBA NIISHIE HAPO AND BY THE WAY I AM NEVER A GREAT THINKER, I AM JUST A TANZANIA WHO HAPPEN TO BE A JF MEMBER AND FREE TO EXPRESS MYSELF HATA KAMA HUPENDI

Tunapoteza maana ya mabadiliko... we want change YES

Mkuuu naona hujaelewa ujumbe wa watu wa mbeya una maanisha nini,ni hivi watu wa Mbeya wamechoka na ubabaishaji wa CCM kwa vile serikali haiwajali na Raisi ameweka pamba masikioni,hivyo basi wameamua kutuma ujumbe MKUL kwa kutumia hilo bango,nafikiri umenipata mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: Tom
I have never been a great thinker...

sikiliza wewe kichomi...

malawi, Uganda failed because of faction approach... we dont have a national approach, we dont have a common agenda kwa sasa, hebu niambie kama kweli tuko serious unaweza kumweka sugu awe rais wa mbeya?? do you expect positive change?? tena bila uchaguzi?? what are we learing from this?? we learn that there is a need for retracting, relook at our approach and have a common national surge that is well coordinated.

our common agenda ni human rights, basic needs, corruption and selfish leader and above all bad leadership and governance... sio kumweka sugu kuwa rais wa mbeya au rombo kupandisha bendera ya kenya (which to me is the stupidest thing ever!) bora hata wangeweka ngozi ya mbuzi basi... yaani Kenya?? they wish to be in Kenya or what??

Sasa sugu (whom i respect alot) leo anatawazwa kuwa rais wa mbeya, ccm wakianguka mbeya kaputi, je tutafanya uchaguzi wa rais mpya au ndio basi tena keshatawazwa kuwa rais??

ANYWAY, WANSEMA LILA NA FILA HAVITANGAMANI.... NAOMBA NIISHIE HAPO AND BY THE WAY I AM NEVER A GREAT THINKER, I AM JUST A TANZANIA WHO HAPPEN TO BE A JF MEMBER AND FREE TO EXPRESS MYSELF HATA KAMA HUPENDI

Tunapoteza maana ya mabadiliko... we want change YES
Unatakiwa uwe mwepesi wa kuelewa. Ni wazi watu wa mbeya hatuna mpango wa kujitenga na kama kungekuwa na mpango basi hata sugu sio mtu wa mbeya ni mtu wa Iringa. Lakini kuonesha kuwa tunatambua utaifa wetu tumemchagua sugu kuwa mbunge wetu. Unatakiwa kutafsiri maandishi hayo kama kiwango cha juu kabisa cha wananchi kuchukizwa na chama na serikali uchwara. Watanzania wote tumefikia level ya ustaarabu ambao hakuna anayeota kujitenga, kama wewe imekuuma ulitakiwa uwapigie kelele wanaotuharibia nchi sio kujifanya wee ndo mwalimu wa uzalendo. Wote ni wazalendo tunataka hao viongozi wako watupeleke tunakotaka na sio waifanye nchi kama shamba la bagamoyo.
 
Hapo ndo naamini maneno ya mwl Jk nyerere aliwai sema siku watanzania wakichukia wanaweza kumpeleka kichaa ikulu,aliyasema maneno haya baada ya kuona viongozi wanafanya ubadhilifu na kujifanya mungu watu.
 
Unatakiwa uwe mwepesi wa kuelewa. Ni wazi watu wa mbeya hatuna mpango wa kujitenga na kama kungekuwa na mpango basi hata sugu sio mtu wa mbeya ni mtu wa Iringa. Lakini kuonesha kuwa tunatambua utaifa wetu tumemchagua sugu kuwa mbunge wetu. Unatakiwa kutafsiri maandishi hayo kama kiwango cha juu kabisa cha wananchi kuchukizwa na chama na serikali uchwara. Watanzania wote tumefikia level ya ustaarabu ambao hakuna anayeota kujitenga, kama wewe imekuuma ulitakiwa uwapigie kelele wanaotuharibia nchi sio kujifanya wee ndo mwalimu wa uzalendo. Wote ni wazalendo tunataka hao viongozi wako watupeleke tunakotaka na sio waifanye nchi kama shamba la bagamoyo.
Thanks Kibona

Nanena ninenayo kwa kinywa na kwa kufikiri.... nina PMs nina emails za watu wanaoamini kabisa Mbeya itajitangazia uhuru, so dont underestimate or overestimate anything in this state of our nation

Pamoja na yote, nashukuru kwa ushauri wako na nina imani wengi wameelimika kwa post yako
 
Poleni Mbeya lakini hizo maiti kwa kuwa zimeuwawa na polisi basi hiyo ni ishara ya mapambano yasio isha mpaka pale haki itakapopatikana,huu ni uhuni na uonevu wa hali ya juu.damu za hao watu waliouwawa ziwe ni kichocheo cha kuhakikisha haki inapatikana,hakuna cha kuogopa kwani hakuna atakaeishi milele,kumbukeni maandiko yamesema-KILA NAFSI ITAONJA MAUTI na kingine KILA GOTI LITAPIGWA
 
Tufanye hivyo ,kwa wao nchi yao inaitwa fisadi.na sisi lazima tuwe na nchi yetu ya democrasia.maji hayoooooooooooooooo,huwezi kuyaziba ,okay endeleeni na mikakati yenu ya mwaka arobaini na saba.pole polisi wa ccm
 
soko limeungua viongozi wanawajibu jeuri machinga hiyo ndo mbeya wanamtegemea mwandosya atulize fujo naye yupo india mbeya ni pagumu hata jk anapajuawale wanamsimamo viongozi kuweni na kauli nzuri ipo siku watachoma ma v8 yenu tatizo la mby lipo kwa meya na huyu watampindua tu i know mbeya
 
Nimeipenda sana hii, na mimi ngoja niende Iringa nikatangaze ni Nchi na Rais ni Dr Slaa
 
DSC00762.JPG



Hii Kitu mie nimeipenda sana. Sasa kule Arusha, Mwanza, Kilimanjaro na kwingineko watengeneze mabango kama haya na kuandika, "Arusha nchi, Rais Dr Slaa, Mwanza nchi, Rais Dr Slaa." n.k. itakuwa poa sana
Ni wakati wa kupata rais anayetoka miongoni mwetu sisi wenyewe wananchi, mwenye kujuwa matatizo yetu, tuliye naye kila mara kama ilivyo kwa Dr Slaa, namwomba tu ikitokea akaingia ikulu asiache kuingia humu JF...

Aendelee kuwa mtu wa watu.

Asifanye kama JK kumbe alikuwa mnafiki kutembelea vijiweni kujichanganya na walala wima kabla hajapata urahisi, kumbe little did we know ana lake jambo.

Yani ilikuwa ni for publicity purposes...Jakaya tulidhani ni mtu wa watu, kumbe wapi bana!

Na kwa jinsi alivyo,nina uhakika humu anachungulia, sema hawezi kujiunga for ametugeuka yeye ni safari tu na huku nchi ishauzwa.
 
Back
Top Bottom