huu sasa upuuzi na ukiachwa uendelee sijui tutafika wapi
Kina nani wapuuzi mkuu?Be specific please.huu sasa upuuzi na ukiachwa uendelee sijui tutafika wapi
upuuzi upo wap mkuu! watu kudai haki ni upuuzi? Acha kutumia masaburi kufikiri!huu sasa upuuzi na ukiachwa uendelee sijui tutafika wapi
Usioziba ufa utajenga ukutaWahenga walisemaga usipojenga ufa utaziba ukuta....right?
Safi sana Mbeya na Arusha.,
Kina nani wapuuzi mkuu?Be specific please.