Huyo anaeigiza huko ikulu humwoni?mm napita km wanamuziki, maDj na wapenda Disko bado mnawashabikia kuwa marais haya! Uchumi ndo huo tena utaimarika
Sio siri wana JF, mimi nimeipenda hii.
mm napita km wanamuziki, maDj na wapenda Disko bado mnawashabikia kuwa marais haya! Uchumi ndo huo tena utaimarika
Mbeya wajitangaza nchi na Sugu ndio rais wao!
huu sasa upuuzi na ukiachwa uendelee sijui tutafika wapi
Hii Kitu mie nimeipenda sana. Sasa kule Arusha, Mwanza, Kilimanjaro na kwingineko watengeneze mabango kama haya na kuandika, "Arusha nchi, Rais Dr Slaa, Mwanza nchi, Rais Dr Slaa." n.k. itakuwa poa sana
huu sasa upuuzi na ukiachwa uendelee sijui tutafika wapi
Lazma serikali ikomeshe huu upuuzi.
Mhhh,kazi ipo,huyu jeykei anayaona haya?
kuna serikali nchi hii?
si kuna genge la wahuni tu wanaojiita serikali!
au hauoni? huna macho? au ndo uzuzu aliokuwa anausema Nyerere?