mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,305
- 13,640
Chadema kinajifuta chenyewe kwa mambo wanayo fanya wenyeweKumekucha...mpango ni Kufuta CHADEMA Kama Chama kikuu Cha upinzani Tz
Chadema kinajifuta chenyewe kwa mambo wanayo fanya wenyeweKumekucha...mpango ni Kufuta CHADEMA Kama Chama kikuu Cha upinzani Tz
Subiri kidogo utaelewa tuu.Ngoja tuone nani ataenda. Wabunge wengi wa CCM na mawaziri wapo mjini wakizunguka tu. Polisi hawana mamlaka ya kumsummon mtu kwa matamko tu ya kisiasa as long as mtu hajavunja sheria yoyote. Mtu wa kudeal na Wabunge ni Speaker na tayari keshatoa maaizo ya kwamba hawa watu warudishe fedha za posho walizolipwa kabla hawajaamua kuji-isolate
Kwa nguvu inayotumika;hamjishtukii tuuChadema kinajifuta chenyewe kwa mambo wanayo fanya wenyewe
Na ndicho wanachokitafuta, kuambukizana magonjwa, kwanini wasiende US Embassy?Huku sasa ni kuambukizana COVID kwa nguvu...mbona nchi hii imekosa mwelekeo kabisa...
Chadema tuliwaonya humu jamii forum
Tukatukanwa kila aina ya Matusi,matusi ya chadema huniharibia mudi ya kuchangia
Tatizo ni maambukizi, huu si wakati wa kuwa karibu na police, very dangerousHata wakienda hakuna sheria yoyote inayowabana labda watumie sharia wanazozijua wao polisi.
Mkuu taasisi zilishawekwa mfukonibarua inadhibitisha taasisi hazitumii akili
leo umevaa tena ile bikini ulovaa jana?Chadema tuliwaonya humu jamii forum
Tukatukanwa kila aina ya Matusi,matusi ya chadema huniharibia mudi ya kuchangia
Nani asieona vituko wanavyo fanya chademaKwa nguvu inayotumika;hamjishtukii tuu
leo umevaa tena ile bikini ulovaa jana?