Hatuna kiongozi aisee...kila mtu anaamua la kwake....pole Tanzania.Influenza
Mtakeni kwanza Jiwe aripoti kituo chake cha kazi cha Magogoni au Chamwino, kabla ya kuwatishia nyau hao wabunge wa Chadema
Hawawezi kuifuta CHADEMA...wanatapatapa!!Kumekucha...mpango ni Kufuta CHADEMA Kama Chama kikuu Cha upinzani Tz
Zero brain. Mdomo hauna break na unakimbia speed mara nne ya ubongo wake unavyoprocess vitu kichwaniSi alisema atawakamata kama anavyokamataga machangudoa, sasa imekuwa kuripoti tena?
Rip DC wa Nyang'wale!Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar, limesema baada ya RC Makonda kutoa saa 24 kwa Wabunge walioko jijini humo kurejea Bungeni, limewataka wale ambao bado hawajaondoka, kuripoti kwa hiyari yao katika ofisi ya Upelelezi, Kanda Maalum kwa mahojiano
View attachment 1442715
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar, limesema baada ya RC Makonda kutoa saa 24 kwa Wabunge walioko jijini humo kurejea Bungeni, limewataka wale ambao bado hawajaondoka, kuripoti kwa hiyari yao katika ofisi ya Upelelezi, Kanda Maalum kwa mahojiano
View attachment 1442715
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar, limesema baada ya RC Makonda kutoa saa 24 kwa Wabunge walioko jijini humo kurejea Bungeni, limewataka wale ambao bado hawajaondoka, kuripoti kwa hiyari yao katika ofisi ya Upelelezi, Kanda Maalum kwa mahojiano
View attachment 1442715
Chadema tuliwaonya humu jamii forum
Tukatukanwa kila aina ya Matusi,matusi ya chadema huniharibia mudi ya kuchangia