Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Habari wadau,
Takriban mwezi mmoja nyuma,vyombo vya habari vilipata kuripot kuwa Kiwanda cha Biotech cha Kibaha kimeweza kupatiwa mkopo mnono na NSSF kwa ajili ya kukiwezesha kifanye kazi.Pia siku chache baadae Mama Jenista alinukuliwa akisema kuwa NSSF wamewakopa NDC ili kuwezesha utendaji wa Kiwanda hicho. Bado kiwanda hakijaanza kazi.
Tunataraj kuona kiwanda hiki kinaanza kazi ili walau serikali ikiulizwa iseme ndio "serikali hii ya viwanda na kiwanda cha kwanza ni cha Biotech".Ila kwa NDC hii ya sasa basi viwanda tutaendelea kuviona kwenye T.V. Mheshimiwa raisi ni lazima afanye marekebisho kwenye menejiment ya NDC ambayo itakuwa na uwezo wa kuumiza vichwa na kubuni miradi ya viwanda kwa ajili ya kwenda na kasi ya ya kauli mbiu ya "SERIKALI YA VIWANDA".
Takriban mwezi mmoja nyuma,vyombo vya habari vilipata kuripot kuwa Kiwanda cha Biotech cha Kibaha kimeweza kupatiwa mkopo mnono na NSSF kwa ajili ya kukiwezesha kifanye kazi.Pia siku chache baadae Mama Jenista alinukuliwa akisema kuwa NSSF wamewakopa NDC ili kuwezesha utendaji wa Kiwanda hicho. Bado kiwanda hakijaanza kazi.
Tunataraj kuona kiwanda hiki kinaanza kazi ili walau serikali ikiulizwa iseme ndio "serikali hii ya viwanda na kiwanda cha kwanza ni cha Biotech".Ila kwa NDC hii ya sasa basi viwanda tutaendelea kuviona kwenye T.V. Mheshimiwa raisi ni lazima afanye marekebisho kwenye menejiment ya NDC ambayo itakuwa na uwezo wa kuumiza vichwa na kubuni miradi ya viwanda kwa ajili ya kwenda na kasi ya ya kauli mbiu ya "SERIKALI YA VIWANDA".