Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,445
- 25,727
Na Yesu akirudi mchezo umeishaa teh teh!Nakazia hapa.... ni hivi mwanza kuifikia dar es salaam ni mpaka yesu arudi.....
Na Yesu akirudi mchezo umeishaa teh teh!Nakazia hapa.... ni hivi mwanza kuifikia dar es salaam ni mpaka yesu arudi.....
Mkuu yesu atarudi lini? Hiyo kitu inshort haipo aiseeNa Yesu akirudi mchezo umeishaa teh teh!
hahaha so that means Mwanza haitaifikia DSM kamwee, acha waendelee kujipa moyo kuifikia Dar.Mkuu yesu atarudi lini? Hiyo kitu inshort haipo aisee
Inaweza kuwahahaha so that means Mwanza haitaifikia DSM kamwee, acha waendelee kujipa moyo kuifikia Dar.
Ngoja tupate na jiji lingine kubwa kama ilivyo DSM.Habarini
Ngoja niende kwenye maono yangu.....
Kwakuwa serikali inahamia Dodoma, inamaana kuwa nguvu ya jiji pendwa DSM inapungua kwa maana shughuli, ofisi, wizara zinahamia Dodoma.
Pia endapo suala la kugenga reli ya kisasa Dsm- mwanza inamaana huduma nyingi sana zitkuwa zinapatikana nwanza kama dsm
Huku wakati jiji la Dsm likipungukiwa nguvu, jiji la mwanza linazidi kukua kwa kasi.... maana ndo litakuwa hub au jiji la kibiashara East Africa.
Nchi jirani wanaotegemea bandari za Tanzania watachukulia mwanza bidhaa zao kwa kusafirishwa na reli ya kisasa from dsm.
Pia uwanza wa ndege wa kisasa unajengwa ksa ushirikiano na nchi ya oman... hivyo basi watu tuine hizo fursa ambazo zipo mwanza and tuzithmie effectively
Baada ya muda tutakuwa na majiji makuu 2 yenye ushindani ya kibiashara
Nawasirisha
Dar is here to stay ndugu!! Chochote kinachojengwa mikoani ni ili kiwe connected na Dsm.Habarini
Ngoja niende kwenye maono yangu.....
Kwakuwa serikali inahamia Dodoma, inamaana kuwa nguvu ya jiji pendwa DSM inapungua kwa maana shughuli, ofisi, wizara zinahamia Dodoma.
Pia endapo suala la kugenga reli ya kisasa Dsm- mwanza inamaana huduma nyingi sana zitkuwa zinapatikana nwanza kama dsm
Huku wakati jiji la Dsm likipungukiwa nguvu, jiji la mwanza linazidi kukua kwa kasi.... maana ndo litakuwa hub au jiji la kibiashara East Africa.
Nchi jirani wanaotegemea bandari za Tanzania watachukulia mwanza bidhaa zao kwa kusafirishwa na reli ya kisasa from dsm.
Pia uwanza wa ndege wa kisasa unajengwa ksa ushirikiano na nchi ya oman... hivyo basi watu tuine hizo fursa ambazo zipo mwanza and tuzithmie effectively
Baada ya muda tutakuwa na majiji makuu 2 yenye ushindani ya kibiashara
Nawasirisha
Mbeya!Ngoja tupate na jiji lingine kubwa kama ilivyo DSM.
Wabunge wa Mwanza wanakaa dar.Umeona kaz Sasa karibia nusu na robo ya viongoz makazi yao Dar
mkumbushe kuna vingine UBUNGO, KIMARA NA BUGURUNI!Mwanza walikuwa wanazidia na Shinyanga ambao wao wanacho kivuko pale railway station!!!Hicho kivuko mlicho zindua hapo jana sisi hicho kivuko tunacho pale manzese miaka zaidi ya 25 iliyopita
na Arusha pia ili mji ufunguke. Tuwe na majiji ya makubwa 6 ikiwemo jiji la Dar es Salaam, jiji la kibiashara la Mwanza, jiji la kitalii la Arusha, jiji la Mbeya, jiji la Kibandari la Tanga na Jiji la Kiserikali la Dodoma.Mbeya!
Wabunge wa Mwanza wanakaa dar.
Na kinondoni morroko kipo.mkumbushe kuna vingine UBUNGO, KIMARA NA BUGURUNI!Mwanza walikuwa wanazidia na Shinyanga ambao wao wanacho kivuko pale railway station!!!
Nakazia hapa.... ni hivi mwanza kuifikia dar es salaam ni mpaka yesu arudi.....