Baada ya miaka 2000 hatimaye Mwanza yapata daraja la juu la kwanza

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,484
20,436
20231202_111943.jpg

Katika hali ya kushangaza na kufurahisha kwa wakati mmoja, hatimaye jiji la Mwanza linaingia katika orodha ya majiji ya kisasa yenye miundombinu ya kisasa.

Katika eneo la Mkuyuni , beams zimeanza kupanda juu kuashiria kuanza rasmi maandalizi ya kutengeneza njia ya reli ya SGR.

Daraja hili la juu linayaacha kiasi fulani majiji mengine Afrika mashariki kwa kupata daraja hili la juu.

Baadhi ya majiji hayo ni Mbeya, Tanga, Arusha, Kigali Rwanda, Bujumbura, Dodoma, Kisumu nk.
 
View attachment 2838438
Katika hali ya kushangaza na kufurahisha kwa wakati mmoja, hatimaye jiji la Mwanza linaingia katika orodha ya majiji ya kisasa yenye miundombinu ya kisasa. Katika eneo la Mkuyuni , beams zimeanza kupanda juu kuashiria kuanza rasmi maandalizi ya kutengeneza njia ya reli ya SGR.
Daraja hili la juu linayaacha kiasi fulani majiji mengine Arrika mashariki kwa kupata daraja hili la juu. Baadhi ya majiji hayo ni Mbeya, Tanga, Arusha, Kigali Rwanda, Bujumbura, Dodoma, Kisumu nk.
Kisumu? Nina mashaka!!!
 
Tunamshukuru sana madam, tunashukuru kamati kuu ya chama maana hizi pesa wangeweza kuamua kuzinywea bia na kulipana posho

Tunashukuru pia bunge letu tulivu kwa kukubali hizo fedha zikajenge fly overs jijini mwanza maana wangeweza kununulia magari LC 300 kwa ajili ya shughuli za bunge

Wabeja sana
 
Mmmh!
Mleta mada wewe ni mshamba kweli kweli. Kuna kitu gani kipya cha ajabu hapo?
Kama ni daraja la juu la njia ya reli, kwa Kilimanjaro (Same kuelekea Mwanga) limekuwepo tangu Uhuru!

Mleta mada umewahi kufika Dodoma?
Hayo mabeam ya SGR kama hilo la Mwanza yapo tele, miaka kadhaa sasa, na bado hayajakamilika.
 
View attachment 2838438
Katika hali ya kushangaza na kufurahisha kwa wakati mmoja, hatimaye jiji la Mwanza linaingia katika orodha ya majiji ya kisasa yenye miundombinu ya kisasa. Katika eneo la Mkuyuni , beams zimeanza kupanda juu kuashiria kuanza rasmi maandalizi ya kutengeneza njia ya reli ya SGR.
Daraja hili la juu linayaacha kiasi fulani majiji mengine Arrika mashariki kwa kupata daraja hili la juu. Baadhi ya majiji hayo ni Mbeya, Tanga, Arusha, Kigali Rwanda, Bujumbura, Dodoma, Kisumu nk.
Wee chawa sema litapata, bado halijapata.
 
Mmmh!
Mleta mada wewe ni mshamba kweli kweli. Kuna kitu gani kipya cha ajabu hapo?
Kama ni daraja la juu la njia ya reli, kwa Kilimanjaro (Same kuelekea Mwanga) limekuwepo tangu Uhuru!

Mleta mada umewahi kufika Dodoma?
Hayo mabeam ya SGR kama hilo la Mwanza yapo tele, miaka kadhaa sasa, na bado hayajakamilika.
Hapa Dom mjini yapo kama manne hivi kuanzia Makulu hadi Kikuyu.

Pia lingine lipo Bahi.

Mleta mada hajatembea....
 
View attachment 2838438
Katika hali ya kushangaza na kufurahisha kwa wakati mmoja, hatimaye jiji la Mwanza linaingia katika orodha ya majiji ya kisasa yenye miundombinu ya kisasa. Katika eneo la Mkuyuni , beams zimeanza kupanda juu kuashiria kuanza rasmi maandalizi ya kutengeneza njia ya reli ya SGR.
Daraja hili la juu linayaacha kiasi fulani majiji mengine Arrika mashariki kwa kupata daraja hili la juu. Baadhi ya majiji hayo ni Mbeya, Tanga, Arusha, Kigali Rwanda, Bujumbura, Dodoma, Kisumu nk.
Nimejaribu kuwaza, hilo ni daraja kweli? Mbona ni fupi sana?
Ni wapi sasa magari vitapishana na treni?
 
Back
Top Bottom