Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,574
- 188,785
Fursa!
Unaenda kuvuna mikusu?🤣🤣🤣🤣Ewaaa...hapo unaingia mtili
Hhahaha misasatiUnaenda kuvuna mikusu?🤣🤣🤣🤣
Asante sana mkuu. Na nimekuita kwa makusudi tu ili uone vituko vya walimwengu. Manabii, mitume, maaskofu etc wanazidi kuchipuka kama uyoga. Marehemu bibi yangu alikuwa anasema hata mtu ukiamua kuua wajinga hutamaliza...Best angu..mimi najiombeaga mwenyewe....huwez amini nnasali mno usiku...sali sana..sijawahi amini kumpelekea mchungaji sijui nabii matatizo yangu ...yaani pilipili awe mchungaji🤣🤣!
Karibu kinywaji mkuu
wakijichanganya wakashika pumbu ndipo atakapochaRuka na dunia ifike ukingoni.
BIBI apumzike mahala salama...amemaliza....mm haya makanisa yanayochipuka kama uyoga hapana kwakweliAsante sana mkuu. Na nimekuita kwa makusudi tu ili uone vituko vya walimwengu. Manabii, mitume, maaskofu etc wanazidi kuchipuka kama uyoga. Marehemu bibi yangu alikuwa anasema hata mtu ukiamua kuua wajinga hutamaliza...