Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,857
- 54,088
Hatari sana!Inafaa aandaliwe tisheti mgongoni iandikwe..."Gogo's International"!ππππHahahahahahahahaha....konyo kweli wwπ€£π€£
Hatari sana!Inafaa aandaliwe tisheti mgongoni iandikwe..."Gogo's International"!ππππHahahahahahahahaha....konyo kweli wwπ€£π€£
Janaume la kulia lia hivi halifai hata kule!...wewe ulie..mie nifanyeje thathaπ€€π₯΅Hatari sana!Inafaa aandaliwe tisheti mgongoni iandikwe..."Gogo's International"!ππππ
Siku moja Benten mmoja akawa anajaribu kumrushia mistari. Siku ya kwanza akawa kimya mara ya pili akaniita Mimi na Shangazi wa Benten alikuwa jirani anakunywa na benten yupo, akatuambia tumtafutie dogo Msichana wa kuoa kwa sababu anakoelekea atapata laana kwa kutongoza 'Mama' zake. Akashika adabu na hakuonekana tena!!!Thats me ..nampita kimoja...napenda music .....! Hapa nafurahia mziki mzuri nirudi kwangu
Mlima wa mizeituni
Akina dada wa Uswazi huwa wanawapiga "gita" katikati ya makalio ili ashtuke na akili zimrudi.πππππJanaume la kulia lia hivi halifai hata kule!...wewe ulie..mie nifanyeje thathaπ€€π₯΅
Siku moja Benten mmoja akawa anajaribu kumrushia mistari. Siku ya kwanza akawa kimya mara ya pili akaniita Mimi na Shangazi wa Benten alikuwa jirani anakunywa na benten yupo, akatuambia tumtafutie dogo Msichana wa kuoa kwa sababu anakoelekea atapata laana kwa kutongoza 'Mama' zake. Akashika adabu na hakuonekana tena!!!
Huwa nawaambia Vijana msiparamie paramie Wanawake Watu wazima, wangi tu wanakuja baa kunywa kwa starehe!
Afu ww kama umezaliwa kinyanamboπππAkina dada wa Uswazi huwa wanawapiga "gita" katikati ya makalio ili ashtuke na akili zimrudi.πππππ
Siyo Kinyanambo.Ni Kinegembasi.π€£π€£π€£π€£π€£ππππAfu ww kama umezaliwa kinyanamboπππ
Kumamao
Itulavanuπ€£π€£π€£!Siyo Kinyanambo.Ni Kinegembasi.π€£π€£π€£π€£π€£ππππ
Mumo kwa pale.Hiyo inaitwa "nyeupe tiiiii" na "nyeusi peeee"!π€£π€£π€£π€£Itulavanuπ€£π€£π€£!
Napamis balaa....nilikua march nikaboreka balaa na baridiMumo kwa pale.Hiyo inaitwa "nyeupe tiiiii" na "nyeusi peeee"!π€£π€£π€£π€£
Mkuu sio fixed hiiKumamao
Come karibu tena,boss!You won't be disappointed!Nikupeleke sehemu ukapate "mbitu" za kizungu.πππππππNapamis balaa....nilikua march nikaboreka balaa na baridi
Houseboy wetu alikua anaita "nyasingo"hahahaa umeelewa maana yakeCome karibu tena,boss!You won't be disappointed!Nikupeleke sehemu ukapate "mbitu" za kizungu.πππππππ
Hakika ndivyo zinavyoitwa.Utasikia..."nipe yenye shingo nene"..!Unaweza kuogopa ukajua umekutana na wataalamu wa kula shingo za kuku.Damn it!π€£π€£π€£π€£Houseboy wetu alikua anaita "nyasingo"hahahaa umeelewa maana yake
ππππππ€π€π€π€!Hakika ndivyo zinavyoitwa.Utasikia..."nipe yenye shingo nene"..!Unaweza kuogopa ukajua umekutana na wataalamu wa kula shingo za kuku.Damn it!π€£π€£π€£π€£
Bela,pambele ludodo!ππππNinavyojidai utadhani mtwa kutoka Kalenga kumbe maswetule tu.ππππππππππ€π€π€π€!
Itulavanu!
Ewaaa...hapo unaingia mtiliItulavanu - Darajani (Mto Ruaha)