kimeloki
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 2,730
- 2,830
Mkuu sana ikikupendeza hii kitu siyo mbaya ukifutaMC PILIPILI NDIO MRITHI WA TB JOSHUA.
Mkuu sana ikikupendeza hii kitu siyo mbaya ukifutaMC PILIPILI NDIO MRITHI WA TB JOSHUA.
Best angu..mimi najiombeaga mwenyewe....huwez amini nnasali mno usiku...sali sana..sijawahi amini kumpelekea mchungaji sijui nabii matatizo yangu ...yaani pilipili awe mchungaji🤣🤣!Wangari Maathai njoo huku. Umepata mtumishi wa kuombea shughuli zako kama haziendi vizuri. Ushindwe mwenyewe sasa kuwa tajiri.
Mama umepoteleaga wap jaman?Wajings ndio waliwao.
Wameona makondoo wengi.
AlhamduliLllah nashukuru mimi Muislam.
😂😂😂Best angu..mimi najiombeaga mwenyewe....huwez amini nnasali mno usiku...sali sana..sijawahi amini kumpelekea mchungaji sijui nabii matatizo yangu ...yaani pilipili awe mchungaji🤣🤣!
Karibu kinywaji mkuu
karibu kinywaji wangariBest angu..mimi najiombeaga mwenyewe....huwez amini nnasali mno usiku...sali sana..sijawahi amini kumpelekea mchungaji sijui nabii matatizo yangu ...yaani pilipili awe mchungaji🤣🤣!
Karibu kinywaji mkuu
Asantee....mm nataftia usingiza tu nikalale .nna redds ya 5..umri ushanitupa mkonokaribu kinywaji wangari
Wewe Mtoto mbichi kabisa. Nina rafiki Mama wa miaka 55 wajukuu wawili na anagonga Kvant+ice+limao na anarudi nyumbani saa 5 yupo safi kabisa. Ana vibe zuri, story nzuri na hajawahi kujiabisha.Asantee....mm nataftia usingiza tu nikalale .nna redds ya 5..umri ushanitupa mkono
Una chuki na uislamu,unawajua bokho kharam,ar khaeda,alshabaab na wenzao wa kibiti??
huko ndio kuna michezo ya kuuana kabisa.
ukubwa dawa tano mbona chache banaAsantee....mm nataftia usingiza tu nikalale .nna redds ya 5..umri ushanitupa mkono
Thats me ..nampita kimoja...napenda music .....! Hapa nafurahia mziki mzuri nirudi kwanguWewe Mtoto mbichi kabisa. Nina rafiki Mama wa miaka 55 wajukuu wawili na anagonga Kvant+ice+limao na anarudi nyumbani saa 5 yupo safi kabisa. Ana vibe zuri, story nzuri na hajawahi kujiabisha.
Unaumwa wewe ujue🤣ukubwa dawa tano mbona chache bana
huu utoto wa kusema uislam unachukiwa ni maneno ya wajinga.Una chuki na uislamu,
Waislamu wanajielewa,uko usikii habari za nabii au ujinga wowote
Unakosa upako muheshimiwa wa mzee wa kulilia mchumba avae Pete!🤣🤣🤣🤣Best angu..mimi najiombeaga mwenyewe....huwez amini nnasali mno usiku...sali sana..sijawahi amini kumpelekea mchungaji sijui nabii matatizo yangu ...yaani pilipili awe mchungaji🤣🤣!
Karibu kinywaji mkuu
Ila jamaa analiaga jamani..khaaa...mtu una hela zako unalia lia nini sasaUnakosa upako muheshimiwa wa mzee wa kulilia mchumba avae Pete!🤣🤣🤣🤣
Kulia ni kipaji.Mtu analia hata akiokota hela?Sasa unamuweka kundi gani?Hata akipewa mbususu yawezekana huwa analia tu ili kuonesha uwepo na kushukuru😂😂😂😂👍👍👍Ila jamaa analiaga jamani..khaaa...mtu una hela zako unalia lia nini sasa
Hahahahahahahahaha....konyo kweli ww🤣🤣Kulia ni kipaji.Mtu analia hata akiokota hela?Sasa unamuweka kundi gani?Hata akipewa mbususu yawezekana huwa analia tu ili kuonesha uwepo na kushukuru😂😂😂😂👍👍👍