- Thread starter
- #81
Ahsante sana
Ahsante sana
Sahihinakukumbusha chezea mshahara kazi iheshimu
AminaBwana YESU Asifiweee![]()
Sawa mkuuKanyaga twende kiongozi piga kazi.
Kazi ni kipimo cha utu
Achana nao bana hebu komaa na private sector ukiwawaza sana ndio kabisaaa!mie hata sijui ni bora tu wangesema niwaombe msamaha yaishe...
Habari wakuu,
Kwenye uzi huu nilieleza jinsi ambavyo nilikula msoto kwa miezi sita bila kazi. Kulikuwa na muda nakosa hata shilingi 100—ndiyo, shilingi 100 hii hii. Wakati huo pia nilikuwa naota ndoto nipo shule ya msingi.
Remember hapo nimepoteza kazi ya kuajiriwa ambayo nilikuwa na uwezo wa kupata 1.2M.
Kuhusu ndoto ya shule ya msingi ni kawaida tu huwa naota tupo darasani n.kKuota upo shule ya msingi pekee haitoshi sababu ulipaswa useme
1. Ulikuwa unafanya nini
2. Ulikuwa na nani?
3. Asubuhi, mchana au jioni
4. Ulikuwa darasani, nje ya darasa
5. Mwanafunzi wa shule hiyo? Ulisomaga hapo?
Ila Kuhusu ndoto ya kuota kijijini kwetu nakumbuka ndoto mbili,
-kuota nimekamatwa na polisi huku nimevaa mavazi ya wafungwa
-Kuota nipo na mama,baba tunatoka kulima kwenye mashamba ya watu.
Binafsi nadoubt kwa sababu mambo yangu yakiwa yanaenda vizuri huwa sioti hivo,huwa naota hivo pale tu...
Sasa naomba niendelee.
Basi, nimefanya interview si chini ya 15, na nyingine nilibargain mshahara mdogo ukilinganisha na uzoefu wangu, lakini bado sikufanikiwa.
Kuna siku nikaamka ndani hakuna chakula, na usiku wake tulikuwa tumekunywa chai tu.
Nikasema niende beach angalau nikaoge maji ya chumvi niondoe mikosi. 😂
Sasa bwana, nimefika njiani sendo ikakatika upande mmoja. Nikajua nikitembea hadi beach itakatika yote, hivyo nitarudi miguu peku. Nikaamua kugeuka nirudi home.
Njiani nikapita Kanisa Katoliki, nikaona bango linaonyesha kuna kongamano la maombi la Karismatiki. Kwa kuwa nilikuwa nimevaa pensi, nikapanga kesho yake nihudhurie.
KILICHOTOKEA KWENYE MAOMBI
DAY 1: Hakikutokea chochote.
DAY 2: Wakati mtumishi anaomba, nilikuwa nimesimama. Nikaanza kutetemeka mikono, nikahisi labda ni kwa sababu nilikuwa nimeinyanyua muda mrefu wakati wa maombi. Nilivyotoka pale, nikakuta nimetumiwa email ya online interview na kampuni ya nje ya Tanzania lakini inaoperate hapa Tanzania.
DAY 3: Ilikuwa siku ya interview, hivyo nikasema nikimaliza online interview sitaenda kwenye maombi.
Hivyo, one hour before interview nikasema nifanye maombi ya angalau dakika tano. Baada ya kama dakika tatu, nikajikuta natamka, "Kwa jina la Yesu, kwa jina la Yesu," huku nimeinua mikono juu. Ghafla nikaanza kutetemeka mikono tena kwa nguvu.
Nikatetemeshwa mwili wote, na mikono yangu ikawa inatembea yenyewe, inanigusa kuanzia mabegani, kifuani, tumboni hadi kwenye mapaja. Baadaye hali hiyo ikapoa, nikafanya interview ya online.
Siku iliyofuata nikaamka sina hela kabisa. Mke wangu akaomba hela kwa baba mkwe (what a shame). Tukala, kisha nikaenda maombi tena.
DAY 4: Nikaenda maombi, na safari hii sikutetemeka. Kesho yake nikapata email ya second interview (physical).
Kiufupi, hadi naandika hii, nipo kazini. Nimeshasaini mkataba, naendelea na training, na nimepokelewa vizuri sana hapa kazini. Kilichobaki kwangu ni kudeliver impact kwenye kazi.
I'm sorry kama sijaandika vizuri.
N.B.: Mimi nimeshare experience yangu, na andiko hili lisionekane kama napigia chapuo dini fulani.
Ahsante mkuuHongera kwa kupata kazi Mkuu..
Sahihi kabisa mkuu yaani nimetendewa muujiza katika maisha yangu,Hongera sana. Usiache kushare hiyo experience ya maombi na usijali watu watasema nini. Kama mtu hatoamini au atakwazika hiyo siyo shida yako. Mungu amefanya hivyo ili sasa nawe umtukuze kwa kutoa huu ushuhuda ili na wengine wapone pia.
Hongera mkuu your story matches exactly with mine kasoro kuoa na kanisanj ila kila kitu kinafanana…inshort MUNGU ukimuomba kwa dhati anakupa mimi ni shuhuda na sitoacha kuwambia watu hivi…MUNGU mkubwa sana aiseeHabari wakuu,
Kwenye uzi huu nilieleza jinsi ambavyo nilikula msoto kwa miezi sita bila kazi. Kulikuwa na muda nakosa hata shilingi 100—ndiyo, shilingi 100 hii hii. Wakati huo pia nilikuwa naota ndoto nipo shule ya msingi.
Remember hapo nimepoteza kazi ya kuajiriwa ambayo nilikuwa na uwezo wa kupata 1.2M.
Kuhusu ndoto ya shule ya msingi ni kawaida tu huwa naota tupo darasani n.kKuota upo shule ya msingi pekee haitoshi sababu ulipaswa useme
1. Ulikuwa unafanya nini
2. Ulikuwa na nani?
3. Asubuhi, mchana au jioni
4. Ulikuwa darasani, nje ya darasa
5. Mwanafunzi wa shule hiyo? Ulisomaga hapo?
Ila Kuhusu ndoto ya kuota kijijini kwetu nakumbuka ndoto mbili,
-kuota nimekamatwa na polisi huku nimevaa mavazi ya wafungwa
-Kuota nipo na mama,baba tunatoka kulima kwenye mashamba ya watu.
Binafsi nadoubt kwa sababu mambo yangu yakiwa yanaenda vizuri huwa sioti hivo,huwa naota hivo pale tu...
Sasa naomba niendelee.
Basi, nimefanya interview si chini ya 15, na nyingine nilibargain mshahara mdogo ukilinganisha na uzoefu wangu, lakini bado sikufanikiwa.
Kuna siku nikaamka ndani hakuna chakula, na usiku wake tulikuwa tumekunywa chai tu.
Nikasema niende beach angalau nikaoge maji ya chumvi niondoe mikosi. 😂
Sasa bwana, nimefika njiani sendo ikakatika upande mmoja. Nikajua nikitembea hadi beach itakatika yote, hivyo nitarudi miguu peku. Nikaamua kugeuka nirudi home.
Njiani nikapita Kanisa Katoliki, nikaona bango linaonyesha kuna kongamano la maombi la Karismatiki. Kwa kuwa nilikuwa nimevaa pensi, nikapanga kesho yake nihudhurie.
KILICHOTOKEA KWENYE MAOMBI
DAY 1: Hakikutokea chochote.
DAY 2: Wakati mtumishi anaomba, nilikuwa nimesimama. Nikaanza kutetemeka mikono, nikahisi labda ni kwa sababu nilikuwa nimeinyanyua muda mrefu wakati wa maombi. Nilivyotoka pale, nikakuta nimetumiwa email ya online interview na kampuni ya nje ya Tanzania lakini inaoperate hapa Tanzania.
DAY 3: Ilikuwa siku ya interview, hivyo nikasema nikimaliza online interview sitaenda kwenye maombi.
Hivyo, one hour before interview nikasema nifanye maombi ya angalau dakika tano. Baada ya kama dakika tatu, nikajikuta natamka, "Kwa jina la Yesu, kwa jina la Yesu," huku nimeinua mikono juu. Ghafla nikaanza kutetemeka mikono tena kwa nguvu.
Nikatetemeshwa mwili wote, na mikono yangu ikawa inatembea yenyewe, inanigusa kuanzia mabegani, kifuani, tumboni hadi kwenye mapaja. Baadaye hali hiyo ikapoa, nikafanya interview ya online.
Siku iliyofuata nikaamka sina hela kabisa. Mke wangu akaomba hela kwa baba mkwe (what a shame). Tukala, kisha nikaenda maombi tena.
DAY 4: Nikaenda maombi, na safari hii sikutetemeka. Kesho yake nikapata email ya second interview (physical).
Kiufupi, hadi naandika hii, nipo kazini. Nimeshasaini mkataba, naendelea na training, na nimepokelewa vizuri sana hapa kazini. Kilichobaki kwangu ni kudeliver impact kwenye kazi.
I'm sorry kama sijaandika vizuri.
N.B.: Mimi nimeshare experience yangu, na andiko hili lisionekane kama napigia chapuo dini fulani.
Kindly share your story,story zetu zinaweza kuwasaidia wengine,Hongera mkuu your story matches exactly with mine kasoro kuoa na kanisanj ila kila kitu kinafanana…inshort MUNGU ukimuomba kwa dhati anakupa mimi ni shuhuda na sitoacha kuwambia watu hivi…MUNGU mkubwa sana aisee
Yap huwa ni mara moja kwa mwakaYeah upo sahihi mkuu kilele ilikuwa ni Leo,ila hili kongamano sitolisahau maishani mwangu
Kwahiyo kumbe kongamano huwa ni mara moja kwa mwaka?
Wewe ni dhehebu gan mkuu na ni dini gan?Naomba unieleweshe hapo kwenye nyumba za ekaristi mkuu
Mimi nasali Roman Catholic mkuuWewe ni dhehebu gan mkuu na ni dini gan?
Criticize hizi dini/dhehenu ama imani ila si Mungu,wewe usingewaona wazazi wako wakikulea labda muda huu ungebisha kuwa hatuzaliwi/hatutokani na wazazi.Sio whenever I hear that name..
Haiwezekani mtu ahangaike kutafuta kitu mwenyewe, kwa nguvu na jitihada zake mwenyewe.
Halafu akishapata anasema ni Mungu.
Kumbe ni yeye mwenyewe ndio amehangaika kutafuta na kuhustle.
Huyo Mungu hakuwepo wakati una hustle, Na wala hayupo wakati umepata.
Sasa waafrika wengi, Dini zilishawapumbaza, Wakiteseka wanaambiwa ni Mungu anawajaribu, ili wakipata waone kwamba ni Mungu kajibu.
Kumbe ni ujinga tu, na manipulation tactics za dini kupumbaza watu.