- Thread starter
- #61
Hapana mkuu ni tetemeko la ardhi lilipita mtaa huu kumbe, ndo nimeambiwa na majirani hapaKwa hiyo ulivyo tetemeshwa ndio ukapata kazi?
Hapana mkuu ni tetemeko la ardhi lilipita mtaa huu kumbe, ndo nimeambiwa na majirani hapaKwa hiyo ulivyo tetemeshwa ndio ukapata kazi?
Wewe endelea kumfanya maombi mkuu mimi subiri nikaangalie maeneo gani kuna Makebo makubwa nimalizane nayo.I'm sorry kama sijaandika vizuri.
N.B.: Mimi nimeshare experience yangu, na andiko hili lisionekane kama napigia chapuo dini fulani.
Unaweza kujikuta unapata fursa sehemu tofauti na hiyo unayoilengaMungu anajibu maombi mimi pia kuna taasisi ipo kwenye maombi yangu zaidi ya mwaka naamini Mungu atanipatia nitakuja kutoa ushuhuda hapa.
Unaweza kujikuta unapata fursaMungu anajibu maombi mimi pia kuna taasisi ipo kwenye maombi yangu zaidi ya mwaka naamini Mungu atanipatia nitakuja kutoa ushuhuda hapa.
NdioMikono inatembea yenyewe

Vipi wamekuwekea😂utumishi niko chini ya miguu yenu naombeni mniwekee barua hata kama tupu
Nawe umeomba kazi?Mungu anifanyie wepesi namimi
waweke wapi.kimyaaa utazan sikawahi kufanya interview....Vipi wamekuwekea😂
Uliwaudhi wapi?😁waweke wapi.kimyaaa utazan sikawahi kufanya interview....
mie hata sijui ni bora tu wangesema niwaombe msamaha yaishe...Uliwaudhi wapi?😁
Yeah upo sahihi mkuu kilele ilikuwa ni Leo,ila hili kongamano sitolisahau maishani mwanguBwana mdogo usimwache MUNGU kilele cha kongamano la karismatic lilikuwa ni leo mpaka mwakani tena
Endelea kusali na kutembelea nyumba za ekarist kila siku
Kwa Jimbo la dar ziko parokia ya st Joseph na parokia ya magomeni
MUNGU akubariki sana
Naomba unieleweshe hapo kwenye nyumba za ekaristi mkuuBwana mdogo usimwache MUNGU kilele cha kongamano la karismatic lilikuwa ni leo mpaka mwakani tena
Endelea kusali na kutembelea nyumba za ekarist kila siku
Kwa Jimbo la dar ziko parokia ya st Joseph na parokia ya magomeni
MUNGU akubariki sana