Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

Hongera kwa kuvuka taabu ya kukosa kipato cha uhakika...familia itarejesha tabasamu sasa.
Chapa kazi na kila la kheri mkuu.
 
Criticize hizi dini/dhehenu ama imani ila si Mungu,wewe usingewaona wazazi wako wakikulea labda muda huu ungebisha kuwa hatuzaliwi/hatutokani na wazazi.
Kwa namna yeyote ipo asili ya tuvionavyo na sisi pia,hicho chanzo ndio Mungu mwenyewe.
Mimi pia niliwahi kudoubt uwepo wa Mungu baada ya kaka angu kufariki na nilikuwa nabishana na walokole nawaambia kama Mungu angekuwepo basi kusingekuwepo na watu wanaoteseka na shida mbalimbali hapa duniani nikaacha kabisa na kwenda kanisani
 
Mimi pia niliwahi kudoubt uwepo wa Mungu baada ya kaka angu kufariki na nilikuwa nabishana na walokole nawaambia kama Mungu angekuwepo basi kusingekuwepo na watu wanaoteseka na shida mbalimbali hapa duniani nikaacha kabisa na kwenda kanisani
Mambo ya kiroho ni very deep si mchezo! Watu wanayachukulia poa mpaka yatakapowakuta!
 
Hongera kwa kuvuka taabu ya kukosa kipato cha uhakika...familia itarejesha tabasamu sasa.
Chapa kazi na kila la kheri mkuu.
Dah acha mkuu hii hali niliyopitia hata adui yangu simuombee aipitie
 
Mimi pia niliwahi kudoubt uwepo wa Mungu baada ya kaka angu kufariki na nilikuwa nabishana na walokole nawaambia kama Mungu angekuwepo basi kusingekuwepo na watu wanaoteseka na shida mbalimbali hapa duniani nikaacha kabisa na kwenda kanisani
Binafsi kanisani nimepiga stop kwa sasa kwani mambo yapo kinyume na mafundisho tuliyopata utotoni ,mfano mali na milki ni za dunia ila leo kila kanisa linasaka mapato sio kawaida.
Kila madhabahu inahubiri utajiri na kufunguliwa kiafya ilihali mambo ya kiroho kuwa ya mwisho.
NB: naamini uwepo wa Mungu,natenda mema na kupenda wanaonizunguka kwangu haya ni zaidi ya ibada 🙏
 
Binafsi kanisani nimepiga stop kwa sasa kwani mambo yapo kinyume na mafundisho tuliyopata utotoni ,mfano mali na milki ni za dunia ila leo kila kanisa linasaka mapato sio kawaida.
Kila madhabahu inahubiri utajiri na kufunguliwa kiafya ilihali mambo ya kiroho kuwa ya mwisho.
NB: naamini uwepo wa Mungu,natenda mema na kupenda wanaonizunguka kwangu haya ni zaidi ya ibada 🙏
Changamoto sana hii
 
Criticize hizi dini/dhehenu ama imani ila si Mungu,wewe usingewaona wazazi wako wakikulea labda muda huu ungebisha kuwa hatuzaliwi/hatutokani na wazazi.
Kwa namna yeyote ipo asili ya tuvionavyo na sisi pia,hicho chanzo ndio Mungu mwenyewe.
Hakuna Mungu.

Huyo Mungu ni wewe tu unahangaika kumtetea na kumuelezea.

Mungu hajawahi kuwepo na hayupo.
 
Amina,nafurahi kuona baadhi ya watu mnanielewa,maana Kuna watu walipinga sana wakahisi naongea uongo
All in all Mungu yupo na anatenda
Ameni... wengine ni Mathomaso mkuu mpaka waone ndio wataamini kwamba MUNGU anatenda!
 
Back
Top Bottom