kisaka victpr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2014
- 657
- 116
akili yako ndo inauchafu,isafishe mkuu.Dah Watanzania na siasa za kibongo...
tuna pelekeshwa huku na huku kama kondoo vile, Sasa leo hata sijui nimpe kura yagu nani..Ni uchafu juu ya uchafu tu
akili yako ndo inauchafu,isafishe mkuu.Dah Watanzania na siasa za kibongo...
tuna pelekeshwa huku na huku kama kondoo vile, Sasa leo hata sijui nimpe kura yagu nani..Ni uchafu juu ya uchafu tu
inawezekana,natokea kanda iliyoambiwa haitatoa mkuu wa magogoni kamwe.Afu ww nahisi ni ndugu yangu kabisaaaaa
team lowassa wako wapi!?
Leo nakunywaa bia pakaaaaa....safar ya matumaini imerejeaa
Karibu kwenye safari ya Uhakika sasa
Monduli Marufuku Nguo za Rangi ya Kijani
babes steph curry mbona sasa hujaniita twende yote,,huoni mama Regina amemsapoti mbebez wake wote team UKAWA!!!
Kunywa pombeka lakini ujue anatafutwa Rais wa Tanzania na si vinginevyo atakayechaguliwa na idadi kubwa ya wananchi na si Rais wa kuchongwa na wachache.
Nnyinda ro meku kunu nfull sherehe Babaaa vandu vakenwa bia kila andu nlowasa aise shekee kunu mwanza
ghaa den babaa wandu wanfughaaa kikasha lowasa akundwa den aiseee..kwamibooo kadi ya kura
Nasikia Slaa alikuwa Monduli!
SASA NILETEE KADI YA CDM...NA USISAHAU KUWABEBEA WAKWE ZAKO NA MASHEMEJI..NI MWENDO WA KUPIGA KURA HADI KIELEWEKE!!! UKAWA FOR LIFE MBEBEZ MWAMBIE NAPE aje kuchukua kadi yake au niichanee...teh teh teh teh ule ndio ubabes wa kweli u know..
Mama Regina jana alitisha sana alafu wale waliokuwa wanasingizia Mama hataki mmewe aende UKAWA akawaua kwa tabasamu na furaha iliyopitiliza pale walipokuwa wanapewa kadi..
Haya karibu na wewe kwenye safari ya uhakika..
SASA NILETEE KADI YA CDM...NA USISAHAU KUWABEBEA WAKWE ZAKO NA MASHEMEJI..NI MWENDO WA KUPIGA KURA HADI KIELEWEKE!!! UKAWA FOR LIFE MBEBEZ MWAMBIE NAPE aje kuchukua kadi yake au niichanee...
ww kweli janga la taifa hebu usiaribie watu raha zao bhana pita na zakoSiasa bwana!! Ila nimeona Tanzania watu wengi elimu ya kupambanua mambo ama ni ndogo kutokana na kiwango. Cha elimu au kusudi kutokana na kukumbatia udini au ukabila, na hili lisipoangaliwa litakua janga la taifa letu, mfano mi si mshabiki ila kwa utafiti wangu nimeona wachaga wengi ni chadema, naona ni wapare tu ndio wamejitenganisha, je huu ni ukabila, ujinga au vyote? Na kama nchi hii itaenda kwa mtindo huu si ndio nchi itaenda kumwagika vipande vipande kama unguja na pemba,! Lowassa kaenda cdm nasikia na waarusha nao wanamfuata! Ningeelewa zaidi kama wangekuwa ni wa jimboni kwake tu ! Tufanyeje ili hali hii isiendelee?
Shamibooo kabsaa ikee kabatinii