Hahahaa haya basi maombi yako yamekubaliwa.
Mzee wangu kaja UKAWA kuleta mabadiliko ya ukweli.
huyu mzee nampenda sana niliumia sana siku aliyokatwa .
Hahahaa haya basi maombi yako yamekubaliwa.
Mzee wangu kaja UKAWA kuleta mabadiliko ya ukweli.
Katika watu waliokasirika ni mimi,,,sijui hasira zangu nizitolee wapi?Dahh anyway leo Lowasa anamalizwa watanzania wajue huyu ni mtu wa namna gani.#tukutaneoctober31
team lowassa wako wapi!?
Nashukuru Mungu kuona naungana na 'maadui' zangu huku siasani.huyu mzee nampenda sana niliumia sana siku aliyokatwa .
Basi tu ni vile wewe ni mtu wangu wa nguvu ila ningekuchana vibaya sana.Katika watu waliokasirika ni mimi,,,sijui hasira zangu nizitolee wapi?Dahh anyway leo Lowasa anamalizwa watanzania wajue huyu ni mtu wa namna gani.#tukutaneoctober31
Hahahaaaaa halafu kipa ni Kikwete beki ni Magufuli!
Kumbe huku nako tuko pamoja? Hakika nimefurahi sana.Hata mie mafuriko yameshanisomba kwenda UKAWA, ngoja tuwaachie lichama lao la kifisadi linalonuka rushwa, laana ya huyu mzee itawatafuna na hawatabaki salama, tumeshaanza kuyasikia tayari, naibu katibu mkuu wao Mwigulu Nchemba anashikiliwa na maafisa wa TAKUKURU kwa mahojiano baada ya kubainika kukiuka sheria za gharama za uchaguzi na sheria za TAKUKURU (kutoa rushwa).
Shughuli gani ucku huu,ama ndugu upo ulipo ni mchana?
Naona ujio wa Lowassa ukawa umekuchanganya.
Mkuu Chinga One ingewezekana leo tukale CHIKANDA kwa furaha maana hii ya leo ni zaidi ya furaha. ..lolha ha ha beki na kipa wake wanapigwa bao la tobo kiulaiiiiniiiii...
Asante sana baba Lowassa "safari ya matumaini imehamia kwa nguvu ya umma"
Kumbe huku nako tuko pamoja? Hakika nimefurahi sana.
Tuko pamoja kwenye safari ya matumaini yenye uhakika.
Mkuu Chinga One ingewezekana leo tukale CHIKANDA kwa furaha maana hii ya leo ni zaidi ya furaha. ..lol
#AsanteLowassa . ..
Mkuu mimi hali ilikua tete kama sio baba yangu kunifariji basi mngekua mnakuja kunisalimia hospital.Hahaha...niliugua kabisa, sitasahau kile walichotufanyia Dodoma, miss you though uko kimya sana.
Hahahaaaaa, ndio tuhakikishe tunahamasisha na familia ndugu na jamaa kuichinja CCM.ha ha ha,ume nikumbusha home daah,CCM ndio basi tena.