lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,440
Issue ni kuwa hiyo ni police case Ni mteja kwenda police na police wataenda taxify kukusanya taarifa za dereva wao.Sijasikia kuhusu kukamatwa kwao ila tu inasemekana wanapigwa block tu kuhudumia kupitia bolt
Duniani kote Hizi Uber Ni vigumu Sana mtu kufanya uhalifu maana dereva amechukuliwa taarifa zake zote Hadi fingerprint... Hakuna muhalifu wa kufanya uhalifu kwenye mazingira ya wazi namna hiyo.