Unasemekana wanascreenshot kwa mteja mwingine anakuonyesha wewe
Umaskin m'baya jamanMimi nakua siwaulizi mpk nikifka nyumban nishatulia napitia trip moja moja ambayo imezid hata buku tu nilolipa nailiopo kwenye record bac naongea na uber wacheki trip yngu imecost fare shingap km nimeibiwa bac nawambia rudishen pesa yngu na inarud wezi sana madereva wengne
Mbali kutoka wapi?ila mbagala mbali jamani halafu inakuja 6000
mbali kutokea wapi?? maana kama ni kutoka city centre, mbagala ni karibu kuliko hata mwananyamalaila mbagala mbali jamani halafu inakuja 6000
Ndo mnavojifariji watu wa mbagarambali kutokea wapi?? maana kama ni kutoka city centre, mbagala ni karibu kuliko hata mwananyamala
Uache uongo mbagala elfu sita ukitoka wapi nauli ya mbagali sithani hata elfu 3000 unatoka kwa boltila mbagala mbali jamani halafu inakuja 6000
Wewe dereva nini😁Wewe ungekubali kwenda kwa bei hiyo?
Kisha ukae kwnye foleni zaidi ya lisaa?
Dereva AF pisi Kali bonge la totoz ukipanda lazma umpe tip na namba uombeWewe dereva nini😁
Mbali inategemea unatoka wapi... Ila kwa kuanzia katikati ya jiji k.koo au posta au temeke..ila mbagala mbali jamani halafu inakuja 6000
Mbali inategemea unatoka wapi... Ila kwa kuanzia katikati ya jiji k.koo au posta au temeke..
Aisee mbagala ni karibu kuliko sehemu zingine zoote zinazokuwa kimaendeleo kwa nyakati hizi.
Upanuzi na ujenz wa mwendokasi ndio unafanya uone mbali kutokana na foleni tu.
Ila boko, bunju, madale sijuh mabwepande, sala sala... Chanika, sijuh mbezi mwisho..
Ooya huko ni mbaaaali kiseee
Baadhi ya madereva si waaminifu, kuna mmoja kama lisaa limepita wa Uber baada ya kuita Uber akanipigia simu akaniuliza wapi ulipo na unakwenda wapi, nikamwambia akasema anakuja.Ila mbona Uber ipo vizuri bado?
Mara nyingi natumia bolt, na marafiki zangu kadhaa wanatumia, ila hakuna aliwahi niambia amepata madhara yoyoteKwa wiki mbili hivi kumekuwa na minong’ono juu ya madereva wanaotoa huduma kupitia Bolt
Tuhuma hizo zinahusisha kujeruhi, kupiga, kutapeli na kunyang’anya abiria mali zao
Pia kupeleka abiria kwenye wrong destination.
Hizi tuhuma zinaweza kuwa ni za kweli ila ikawa ni mipango mikakati ya wapinzani wao kuwamaliza, Baada ya Bolt kutamba sana ndani ya soko.
pia nimewaza pengine ni udogo wa bei unaofanya madereva wanapata pesa kidogo huku wakihitajika kupeleka hesabu kwa maboss na wao kuendesha maisha Yao.hivyo wanajikuta wanaishi kwa msongo wa mawazo na ku overreact kwa wateja!
Je kuna ndugu humu amewahi kukutana na matukio ya kusikitisha kutoka huduma ya Bolt?
View attachment 1797176
View attachment 1797179
Kuanzia leo ngoja nianze kutumia BoltMara nyingi natumia bolt, na marafiki zangu kadhaa wanatumia, ila hakuna aliwahi niambia amepata madhara yoyote
Kweli, kutoka kkoo to ubungo bolt watu watatu elf 5,500.....daah sijui wanapataje faida, Bro juzi nikamuitia Bolt juzi ya watu watatu Mnazi-Mmoja to Kibamba elf 20.ila bei jamani mpaka huruma muda mwingine unaongeza tu mwenyewe
Hutojuta, wapo wengi sana mkuuKuanzia leo ngoja nianze kutumia Bolt
Wanajiridhisha vipi kuwa umelipa zaidi?Sijawahi kupigwa lakini madereva wengi ni wezi na hawana lugha nzur wengi wao wameniibia mara nying nauli hasa nikiwa nimeadd trip nikirud kwenye ride history nakuta nauli ni different nikifnya contact na bolt wanaconfirm na pesa yngu inarud