Bawabu wa pili
Senior Member
- Nov 14, 2025
- 147
- 432
Usijali huu uzi nitaufuta we nambie tu ulivyooa maisha yaliendeleaje? Huenda ukaniponya mwanangu, ilikuaje baada ya hapo, nasubiri comment yako!
Huwa sifikiri kama mkipendana kweli , Kuna habari za kuviziana 🤔Mwanamke akasema "Wote tumeoana".
Nikamuambia "Wewe umeolewa" na "Mimi nimeoa".
Kama unataka tuwe tumeoana basi "Nawe nenda katoe mahari kwetu".
Mwanaume ukioa kuwa makini sana, unaweza ukalegezwa ukalegezeka.
Subiri umuoe Seran ndo utaelewa.Huwa sifikiri kama mkipendana kweli , Kuna habari za kuviziana 🤔
Noma sanaNilipigika kiasi kwamba kula ikawa stress, kuvaa stress na mwisho nikafirisika nikakimbia kwangu nikaenda kuwa kibarua wa rafiki yangu ambae nilikuwa namzidi mtaji, madeni yaliniandama yaani miaka 2 natafuta japo nimiliki smartphone ya Vodafone ilikuwa inauzwa 60k wakati huo na sikuweza afford kwa miaka 2. Mshikaji wangu mmoja akanipa code kwamba nivumilie mambo yataanza kukaa sawa after 3 to 4 yrs, basi nikakaza mambo yalianza kurudi sawa mwaka wa 4. Mpaka nilihisi nimerogwa kumbe ile huwa ni hali ya kawaida hasa kama wewe mwenyewe au mwenza wako mnatokea kaya maskini hamna sapoti yoyote basi mjiandae kuswampa
Hahaha basi yaishe janja
Eeeh eeh Kaz kwel kwelMwanamke akasema "Wote tumeoana".
Nikamuambia "Wewe umeolewa" na "Mimi nimeoa".
Kama unataka tuwe tumeoana basi "Nawe nenda katoe mahari kwetu".
Mwanaume ukioa kuwa makini sana, unaweza ukalegezwa ukalegezeka.
Kinaendelea nini tena jamani😅
Tushafungishwa ndoa ya mkeka fanya chap uje😂Kinaendelea nini tena jamani😅
Vip Tena bwashee , umevuta kichupa Cha kimachame nini mnama?Tabu Tupu Kama Isingenilazimu Nisingeoa Ningezaa Niwapambanie Watoto Sio Mwanamke!
Aisee huwa inachukua muda kurekebisha kichwani kwamba unatakiwa kugharamia ma isha ya wawili na sio wewe peke yako.Lakini baadaye huwa hali hiyo inajirekebisha yenyewe na unaingia kwenye "provider mode".Ukishakaa muda mrefu kwenye ndoa unaona ni sawa tu kulisha wote waliopo chini ya himaya yakoIlinichukua muda sana kukubali kuwa wali ,nyama na vingine ninavyoleta na yeye atakula hivyo hivyo bila kuchangia chochote ,roho ilikuwa inauma sana kiasi kuwa nilijipa muda kuiondoa hiyo roho ya uchoyo kichwani mwangu na moyoni ila ilinitesa .
Ila walisema usiodharau instinct yako ni bora ningemnyima hiyo misosi yangu maana badaye kiliniacha aisee
Kataa ndoa stand up 💪
Ilikuwa inaniuma sana aisee kuna muda nilikuwa sirudi nyumbani nakula huko huko kazini ili tu asile jasho langu ,kumbe na wewe yalikukuta mshikaji wangu ?Aisee huwa inachukua muda kurekebisha kichwani kwamba unatakiwa kugharamia ma isha ya wawili na sio wewe peke yako.Lakini baadaye huwa hali hiyo inajirekebisha yenyewe na unaingia kwenye "provider mode".Ukishakaa muda mrefu kwenye ndoa unaona ni sawa tu kulisha wote waliopo chini ya himaya yako
Hahaha niko na cha Marangu mkuu. Kazi kwelikweliVip Tena bwashee , umevuta kichupa Cha kimachame nini mnama?
Nimecheka kwa nguvu 🤣Mwanamke akasema "Wote tumeoana".
Nikamuambia "Wewe umeolewa" na "Mimi nimeoa".
Kama unataka tuwe tumeoana basi "Nawe nenda katoe mahari kwetu".
Mwanaume ukioa kuwa makini sana, unaweza ukalegezwa ukalegezeka.