Yaani jf sikuiz full vituko
Hawa ndiyo wana zuoni wanaodhaniwa kuwa wanaweza kuibadisha dunia?
Back to primitive stage seems better.
Nilizan mmefanya tafit za kimaendeleo kwa miaka saba sasa leo umepata jibu jibu...kumbe ulikuwa unatongoza for seven years ndo umepata positive answer..... sasa kitaaalam kakukatalia miaka saba na ww jibu la siku moja umesahau miaka saba ya kukataliwa....... ehehehe we have a long way to have mind liberation
aiseee inasikitisha sana mkuu ......jiulize kwann kakubali leo baada ya 7 yrs.....think + na - yake ikishajua endelea na mipango yako
Mileage ishasogea, hana jinsi! Na atakuganda mpaka utakoma kwa nini uliendelea kumtongoza!
Sasa huyo unapeleka gesti, mvua nguo, unamnyonyesha koni mpaka wadhungu wanatoka, unammezesha au unammwagia usoni, kisha unamwambia, baada ya kukufukuzia miaka saba, sasa nimeridhika!
Chai.........
miaka 7 yaani mwanafunzi wa shule ya msingi kasoma mpaka kamailiza ndio umekubaliwa
Unachekelea ujinga pengine huyo dada mwarabu ana umeme na anataka kukunganisha kwenye gridi ya taifa...hata kama huna ubongo jaribu hata kutumia tumbo kufikiri kwa miaka yote saba aliyokuzungusha umebadilika nini mpaka leo akuone wa maana........THINK BIG......
Kweli kabisa sidhani kama ametumia kichwa kufikria hili swala..otherwise awe na mtindio wa ubongo.........Ni kweli kbs furaha yake inaenda kumpa majuto
Wachaga tunaita. KyasakaaaMkuu huyo ukigonga tu na nuksi unaibeba hapohapo, demu akikusumbua muda mrefu achana nae. Unaepushwa nuksi