BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Rafiki baadhi ya Wanaume ndiyo walivyo, labda alitaka aendelee kumtolea nje kwa miaka mingine 7. Umeongea vizuri sana kwa hekima na busara tele.
Hapo ndo panaposhangaza mdada wa watu kakukubali wewe mbio jf kuja kutafuta mawazo ya kumuumiza kumbuka Mungu anauona mpango wako jitahidi kuwazia wengine mema ili nawe upate mema. Hujui kwanini alikua anakukataa na hujui kwanini amekukubali sasa hivi. Pengine kuna kitu Mungu alikua anamrekebisha au anakurekebisha.