Second Fiddle
JF-Expert Member
- Dec 9, 2014
- 469
- 122
The most vulnerable (to male approach) woman is the one who has been recently heartbroken and is in emotional distress
Iko hivi, mwanamke akitendwa katika mapenzi basi kumkubali mwingine harakaharaka ni kitu chepesi mno. Huwa wanatake it as some sort of revenge. Sasa kulichotokea ni kuwa huyo mwarabu wako katendwa na kidume anachokipenda na because wewe umekuwa unakumbushia mara kwa mara bac, by default, chombo cha kutumia katika revenge utakuwa wewe.
I can assure you that muda si muda watarenconcile na mtu wake na utatemwa as you are destined to.
It is unfortunate kwamba hutaleta mrejesho humu JF.
Captaiiin! Salute sana mkuu!