pole sna lakini nikupe hongera. kukubali inamaana amekuamini kuwa siyo mpita njia. na ameona miaka yote hiyo hukati tamaa. ameona kwali upo serious na nimuoaji wewe. sasa usimwangushe. mpende kama alivyokupenda. na nikuambie tu huyo ndo mwanamke wa kuweka ndani. nikutakie mgegedo mwema. ila usimwache please
Umaskini kitu kizuri sana, mtu maskini tu ndo anaweza subiri miaka 7 apewe shimo
fanya cost analysis ulizotumia kwanza
​duuuhhh, so hapo katikati kagegedwa weeee walivomdamp ndo kaamua kuja kukulisha shombo
Leo kanikubalia sijui hata nimpe adhabu gani kwa kunisumbua miaka yote hii..ni binti Wa kiarabu nilianza kumtokea mwaka 2009 tukiwa tunasoma mwaka Wa kwanza pale tumaini university..nilimpenda xana huyu Dada ila alikuwa anakataa kila nilipomtokea ila sikuacha kumsumbua kila nilipojisikia kutongoza nilikuwa nampigia simu then nakumbushia ombi langu..Leo kama masihala nilisema nimkumbushie hatimae mtoto katiki bhana..sijui nimgonge halafu nimwache coz kanisumbua xana huyu mtoto..ebu nishaurin
Hapo ndo panaposhangaza mdada wa watu kakukubali wewe mbio jf kuja kutafuta mawazo ya kumuumiza kumbuka Mungu anauona mpango wako jitahidi kuwazia wengine mema ili nawe upate mema. Hujui kwanini alikua anakukataa na hujui kwanini amekukubali sasa hivi. Pengine kuna kitu Mungu alikua anamrekebisha au anakurekebisha.
Leo kanikubalia sijui hata nimpe adhabu gani kwa kunisumbua miaka yote hii..ni binti Wa kiarabu nilianza kumtokea mwaka 2009 tukiwa tunasoma mwaka Wa kwanza pale tumaini university..nilimpenda xana huyu Dada ila alikuwa anakataa kila nilipomtokea ila sikuacha kumsumbua kila nilipojisikia kutongoza nilikuwa nampigia simu then nakumbushia ombi langu..Leo kama masihala nilisema nimkumbushie hatimae mtoto katiki bhana..sijui nimgonge halafu nimwache coz kanisumbua xana huyu mtoto..ebu nishaurin
Inasikitisha kuona msomi kama wewe tena kutoka chuo maarufu unapost ishu ya kipuuzi. Sitaki kuamini kuwa ndivyo ulivyofunzwa ila unanilazimisha niamini kuwa elimu uliyonayo imeshindwa kukusaidia kuvumbua na kuleta mabadiliko chanya yako binafsi na jamii kwa ujumla. Tumuogopeni Mungu basi jamaniiiii.....
Muulize atuambie kama bado yupo sealed na malinda yapo ndo useme ivo.
Unaweza kuta kuna jamaa alikua anapelekewa.