Baada ya kumtongoza kwa Miaka 7,Leo amekubali

Baada ya kumtongoza kwa Miaka 7,Leo amekubali

23+7=30
Bila shaka huo ndiyo umri wake huyu binti!Ujana wake kala na wengine sasa kazeeka ndiyo anakuja kwako!

Akili za mbayuwayu ehehhe

Haswaa huo ndio ukweli 100%, hamna kitu hapo, katumika sana sasa kajikuta ...................
 
Hongera sana, Nampa hongera na Bibie kwa kuonyesha swaga za Enzi zile kina Bi. Kidude (marehemu) wangali vichuna.
 
Miaka saba kama ni gari imeshatembea kilomita nyingi sana, Embu tafakali kutokana na maongezi yenu, alikuwa anakataa nini na sasa anakubali nini?
 
Una moyo, miaka 7 unafukuzia mwanamke, huna mengine ya maana ya kufanya? Baada ya kumpata umgonge umuache uanze kufukuzia mwingine kwa miaka mingine isiyojulikana. Kazana.
 
Bora kumwacha kama alivyo kuliko kumfunua kisha usepe, itamuumiza sana! imagine wewe unakuwa na mtu kwa mara moja na huyo mtu akate mawasiliano ghafla utajisikiaje? plz don't do that,......
 
ameshachoka uyo, hana hadhi tena ndio anakuja kwako. haya jichukulie si unaona mwarabu mali
 
Kaona ameungua anataka akugawie moto
 
Baada ya kumsumbua sana usikute anataka kukuomoa. Kuwa makini usije ukalia.
 
ungesha za mtoto wakuanza darasa la kwanza na wewe naye ulimshikia sana bango miaka yote saba hukupata ata kwingine. yeye alikua na nini zaid ama kweli mahaba ni gara gaze. bado tena 7 mingine ndo mjee kulalana. kah.
 
Leo kanikubalia sijui hata nimpe adhabu gani kwa kunisumbua miaka yote hii.Ni binti wa Kiarabu nilianza kumtokea mwaka 2009 tukiwa tunasoma mwaka wa kwanza pale Tumaini university.

nilimpenda sana huyu Dada ila alikuwa anakataa kila nilipomtokea ila sikuacha kumsumbua kila nilipojisikia kutongoza nilikuwa nampigia simu then nakumbushia ombi langu.

Leo kama masihara nilisema nimkumbushie hatimae mtoto kakubali.sijui nimgonge halafu nimwache sababu kanisumbua sana huyu mtoto.

Nishaurini.

Alikwenda kupima juzi baada ya kubakwa siku ya tarehe 26 desemba 2014, so hebu mwulize kwanza majibu. ..
 
Mpaka unaleta Uzi huu umesha bonyea kama bado ongeza miaka 3 maana anaweza kuwa humu...
 
Bora kumwacha kama alivyo kuliko kumfunua kisha usepe, itamuumiza sana! imagine wewe unakuwa na mtu kwa mara moja na huyo mtu akate mawasiliano ghafla utajisikiaje? plz don't do that,......
Kosa kubwa ambalo mwanamke anapaswa kuepuka ni kumkubali mwanamke ambaye umemkatalia kwa mda mrefu. Wanaume wengi wanakuwa na mtizamo kwamba umekubali kwa kuwa ulikokutegemea kumegonga mwamba na hapo yeye an a panga kukutosa pia na huo unakua mwanzo wa maumivu
me ngine. Am talking this with experience maana hata mimi ni victim. Hapo wanaume mnakosea, binti ameamua kukukubalia ni kwa kuwa sasa ametambua nia yako ya dhati.
 
Mkuu unamoyo wa pekee miaka saba,wamegonga wengine vya kutosha leo unapewa wewe unajiona mshindi
 
Leo kanikubalia sijui hata nimpe adhabu gani kwa kunisumbua miaka yote hii.Ni binti wa Kiarabu nilianza kumtokea mwaka 2009 tukiwa tunasoma mwaka wa kwanza pale Tumaini university.

nilimpenda sana huyu Dada ila alikuwa anakataa kila nilipomtokea ila sikuacha kumsumbua kila nilipojisikia kutongoza nilikuwa nampigia simu then nakumbushia ombi langu.

Leo kama masihara nilisema nimkumbushie hatimae mtoto kakubali.sijui nimgonge halafu nimwache sababu kanisumbua sana huyu mtoto.

Nishaurini.

Hakika UKOMBOZI wa nchi hii kutoka kwa MAFEDHULI na WAKOLONI CCM ni mgumu sana kama tuta endelea kuwa na Vijana wa aina yako wewe. Kwa hasira niliyokuwa nayo na kama ningelikuwa na uwezo wewe una Stahili kuwa ni CHAKULA CHA MAMBA.
Usirudie kuleta USHUZI wako hapa tena na uwe unafikiria kwanza kabla ya kutenda kwani humu JF kuna watu tofauti sana siyo wote mbulula kama Lumumba.

Nchi iko kwenye matatizo we unalete mapenzi msibani, aise tena wewe WATCH OUT WITH YOU'RE FOOL MIND AND FEELINGS.
 
.......... Am talking this with experience maana hata mimi ni victim. Hapo wanaume mnakosea, binti ameamua kukukubalia ni kwa kuwa sasa ametambua nia yako ya dhati.

Pole mwaya, umesema ukweli mtupu. kwa mwanamke ukiamua kukataa ni bora ukatae moj kwa moja,na kwa upande wa mwanamme mwanamke uliyemfuatilia kwa muda mref akikubali anajua wewe uko serious na ulichokimaanisha,kinyume chake utamsababishia maumiv makali aisee.
 
Nilidhani machimbo ya Tanzanite Mirerani. Dah kuna waja wana subira.
 
nlisemaga mimi,BE PATIENT MWISHO ITAKUA BE DOCTOR,.
sasa umekua patient mpaka umekua sugu sasa humchukulii kama mwanzoni unamuona wa kawaida tuu,its bkoz ur losing her taste.
kinadada na nyinyi kama mnamkubalia mtu kubalini in reasonable time.aya sasa mwenzenu kwa inavyoelekea atagegedwa kukomolewa tuuu kwa kumzungusha jamaa.isije na ww ikakutokea unakuta baada ya muda unatafta mume unajua huyu jamaa anantaka muda mrefu basi unadhan ndo mume afu ugongwe then uachwe itakuumajee, chunga sana.
ADIOS AMIGOS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom