Habari za wakati huu wanaJF
Binafsi nipo mzima wa afya naamini pia nanyi mu wa wazima!
Kuna mdada nilifahamiana naye kutoka kwa aliyewahi kuwa mpenzi wangu. Ushemeji wetu ulidumu kwa muda mchache na baadaye tukawa wapenzi.
Yeye yupo west Kilimanjaro mimi nipo Simanjiro. Huyu mdada alionesha kunijali sana, huku akionekana kuhitaji kuwa na mimi kimwili hivyo kutoka na uzuri wake na vile anavyonijali sikuwa na jinsi nikaingia mtegoni, akasafiri kutoka West Kilimanjaro tuje tukutane Arusha.
Kweli sikupima na wala sikutumia kinga na sio kawaida yangu kabisa sijui nini kilitokea. Cha ajabu baada ya shughuli hiyo amerudi kwao amebadilika mazima. Napiga simu anapokea mwanaume, wakati mwingine akipokea anasema nitakutafuta muda ukifika.
Sasa kauli zake zinanichanganya ni mwezi mmoja sasa toka itokee.
Tafadhali kwa aliyewahi kukumbana na hili naomba ushauri wako.
Naomba usinikejeli kwa lolote kama hujaona cha kunishauri pita kimya.
Binafsi nipo mzima wa afya naamini pia nanyi mu wa wazima!
Kuna mdada nilifahamiana naye kutoka kwa aliyewahi kuwa mpenzi wangu. Ushemeji wetu ulidumu kwa muda mchache na baadaye tukawa wapenzi.
Yeye yupo west Kilimanjaro mimi nipo Simanjiro. Huyu mdada alionesha kunijali sana, huku akionekana kuhitaji kuwa na mimi kimwili hivyo kutoka na uzuri wake na vile anavyonijali sikuwa na jinsi nikaingia mtegoni, akasafiri kutoka West Kilimanjaro tuje tukutane Arusha.
Kweli sikupima na wala sikutumia kinga na sio kawaida yangu kabisa sijui nini kilitokea. Cha ajabu baada ya shughuli hiyo amerudi kwao amebadilika mazima. Napiga simu anapokea mwanaume, wakati mwingine akipokea anasema nitakutafuta muda ukifika.
Sasa kauli zake zinanichanganya ni mwezi mmoja sasa toka itokee.
Tafadhali kwa aliyewahi kukumbana na hili naomba ushauri wako.
Naomba usinikejeli kwa lolote kama hujaona cha kunishauri pita kimya.