macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,796
- 39,589
Yanatengenezwa mazingira ya 'dharura' hapo...Hivi ni lini kutakuwa na umeme wa uhakika Tanzania??Maana watumiaji ni proportion chache tu ya raia wote,ile kuwakidhi hao tu nalo limekuwa shida.Where is da vision mr president?Ngeleja?Rashid(if u r stil there)?
Sasa unafikiri zile generator 'zetu' tutazipeleka wapi???