Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Mwaka wa 2010 hakuna umeme! Hii kweli ni ari mpya na nguvu mpya ya kumaliza nchi.
Upepo tunao, kwanini wasitumie wind turbine generators. Halafu mnadai eti mna viongozi na wana taaluma. lol.
Wapige simu siemens ujerumani watawasaidia hawa. Kama hawana number wanipigie simu, nitawasaidia.
Siku hizi siyo ari mpya tena, wamebadilisha kiitikio ni kilimo kwanza