Baada ya kuharibu mahusiano ya ndani, Kabudi anakwenda kuzidisha migogoro na mataifa ya nje.

Tuliwaambia huyu anakwenda kuchochea moto zaidi mdomo wake hauna breki.
 
Swali la kujiuliza ni kwanini Raisi Magufuli amemtoa mtu mzoefu wa mahusiano ya kimataifa na kumuweka mtu ambaye hana uzoefu na siasa za kimataifa. Tena kwanini amuweke kwenye kipindi ambacho siasa za dunia yetu zimebadilika kwa kasi sana.
1150983
 
Swali la kujiuliza ni kwanini Raisi Magufuli amemtoa mtu mzoefu wa mahusiano ya kimataifa na kumuweka mtu ambaye hana uzoefu na siasa za kimataifa. Tena kwanini amuweke kwenye kipindi ambacho siasa za dunia yetu zimebadilika kwa kasi sana.
Jibu:-

Magufuli is a country bumpkin.
 
“A few hooligans in the EUparliament Foreign Affairs Committee.” - Palamagamba Kabudi.
 
Kimataifa zaidi.

Kabudi kafeli karibu kwa kila kitu, anakabidhiwa majukumu makubwa ya kurudisha heshima ya nchi yetu kwa jumuiya za kimataifa, majukumu yanayohitaji mtu aliye na msimamo, a principled person, anayesimamia ukweli, asiye kurupuka, mtu mwenye uwezo wa control emotions na temper, Kabudi hana hizo sifa, si mkweli, ana jaziba, tutegemee nini kwa Prof. Kabudi kama siyo kuharibu zaidi.

Kasimamia uanzishwaji wa sheria mbovu ya vyama vya siasa ambayo inakwenda kuongeza ufa katika jamii.

Kasimamia mazungumzo yasiyo na faida ya makinikia kiasi kwamba hadi sasa hatima yake haijulikani.

Kasimamia uanzishwaji wa sheria mbovu ya mashirika ya mifuko ya kijamii kuhusu kikokotoo hadi rais alipoingilia kati.

Kasaini mkataba na kampuni hewa ya Kenya kuhusu ununuzi wa korosho hadi sasa hatima yake haijulikani.

Kwa kipindi chake kama msimamizi mkuu wa wizara ya sheria tumeshuhudia ukiukwaji mkubwa wa katiba na sheria za haki za binadamu.

A principled person is someone who acts with integrity and honesty, with a strong sense of fairness, justice and respect for the dignity of the individual, groups and communities.


Kipigo kimechimbua vidonda ambavyo vilionekana kuelekea kupona baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Tunaona bora nchi ipotee ili kuweza kujinusuru na yaliyo tufika baada ya Uchaguzi.

Tulipanda mbegu mbovu za mahindi kutegemea kuvuna chakula kingi mno, hiyo ni dunia gani?

Tumenyooshwa 2020, cha msingi tuangalie 2025 na Tundu Lissu wetu, tutachukua nchi, tuvumilie tuu. Kesho yetu inafurahisha.
 
Kimataifa zaidi.

Kabudi kafeli karibu kwa kila kitu, anakabidhiwa majukumu makubwa ya kurudisha heshima ya nchi yetu kwa jumuiya za kimataifa, majukumu yanayohitaji mtu aliye na msimamo, a principled person, anayesimamia ukweli, asiye kurupuka, mtu mwenye uwezo wa control emotions na temper, Kabudi hana hizo sifa, si mkweli, ana jaziba, tutegemee nini kwa Prof. Kabudi kama siyo kuharibu zaidi.

Kasimamia uanzishwaji wa sheria mbovu ya vyama vya siasa ambayo inakwenda kuongeza ufa katika jamii.

Kasimamia mazungumzo yasiyo na faida ya makinikia kiasi kwamba hadi sasa hatima yake haijulikani.

Kasimamia uanzishwaji wa sheria mbovu ya mashirika ya mifuko ya kijamii kuhusu kikokotoo hadi rais alipoingilia kati.

Kasaini mkataba na kampuni hewa ya Kenya kuhusu ununuzi wa korosho hadi sasa hatima yake haijulikani.

Kwa kipindi chake kama msimamizi mkuu wa wizara ya sheria tumeshuhudia ukiukwaji mkubwa wa katiba na sheria za haki za binadamu.

A principled person is someone who acts with integrity and honesty, with a strong sense of fairness, justice and respect for the dignity of the individual, groups and communities.
Amesahau kimo chake huyo....!
 
Back
Top Bottom