Baada ya kufanya mapenzi, uume wangu hausimami tena

Baada ya kufanya mapenzi, uume wangu hausimami tena

Hahahahaha lol! ukienda usivae pichu labda inaweza kumuongezea hamasa kitu kikasimama dede 🙂🙂 kwa mara ya kwanza baada ya wiki ya kuwa doro.

Hahaha hahaha sina mbavu
 
Hiyo rahisi, mbona ishawatokea wana kiba hapa kitaa, ngoja nikupe dawa wanayo tumiaga..

Chukua pilipili mbuzi ambazo ni mbichi sokoni isage kwenye brenda na usiongeze maji mengi..

Chemsha mafuta ya trecta mpaka yaive..

Washa moto kwa makaa ya mawe..

Sasa chukua ndonga/dushenga lako lichovye kwenye juice ya pilipili alafu libanike kwenye moto wa makaa ya mawe kwa dk1, then liopoe lidumbukize kwenye wese la trekta inayochemka jikoni kwa sekunde kadhaa, ukisikia maumivu yoyote wakati huo kunya kidogo juice ya pilipili..

Alafu tuletee jibu hapa, yaani nidawa tosha na washkaji kibao wamepona nikiwemo na mimi.

Hahaha hahaha hahaha
Hahahahahaha
Hahahahahaha mbavu zangu hahahahahaha leo kifo, hio dawa kifo inatibu tezi dume pia
 
Kutokana na kikao cha dharula cha jana usiku cha marijali kilichofanyika movenpick hotel na nikiwa kama mwenyekiti wa wanaume marijali TANZANIA nakufungia rasmi leseni yako ya urijali kwa muda wa miezi mitatu hadi pale kitendea kazi chako kitakapo anza kuonyesha uhai...otherwise tutakuondoa rasmi katika orodha ya marijali nchini TANZANIA....itifaki imezingatiwa.....

Parapandaaa Italia parapandaaa, Nalo dushe lako litakuwa limekwisha nyakuliwa kweeenda....!!

Linapoelekea dushe lako nikutosimama kabisa.

Hahaha hahaha ahaha
 
Wewe unahitaji uji wa shurba, mtafute mzanzibari akupikie, pili Tafuta pweza mpike supu kila siku, tatu tende na njugu mbichi na maziwa brenda pamoja kula hivyo vitu kwa wiki, na pendelea kila ukikamua demu kula hio misosi, utainuka kama chuma, mara halali tena, lol balance lakini.
 
Pole sana rafiki hapo nenda kamuulize au karudie kwake inawezekana ukimwona jogooo atawika hapo utajichanga mwenyewe
 
Habarini wadau,

Ni wiki sasa tangu nifanye mapenzi na mdada fulani hivi amaye aliijituma vilivyo kunako ground na kujikuta wote majeruhi baada ya gemu kuisha.

Sasa ajabu ni kwamba uume wangu limegoma kusimama wima tangu siku hiyo,sasa ni wiki hii.
Sijawahi jibusti na kitu chochote ili kuongeza nguvu.

Ila tu nikubali kua nguvu nyingi ilitumika ili kuikabili timu pinzani ambayo ilionesha ufundi wa hali ya juu.
Maswali ninayojiuliza ni je hali hii nikawaida ama kuna,,pole hapo ni kutafuta dawa!!
 
Back
Top Bottom