BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
We ndio basi tena....
Kwishnehi
Kwishnehi
Hilo co tatizo mkuu mi ilintokea kwa miaka 7 na badae ikakaa poa so we vumilia tu mda bado
Habarini wadau,
Ni wiki sasa tangu nifanye mapenzi na mdada fulani hivi amaye aliijituma vilivyo kunako ground na kujikuta wote majeruhi baada ya gemu kuisha.
Sasa ajabu ni kwamba uume wangu limegoma kusimama wima tangu siku hiyo,sasa ni wiki hii.
Sijawahi jibusti na kitu chochote ili kuongeza nguvu.
Ila tu nikubali kua nguvu nyingi ilitumika ili kuikabili timu pinzani ambayo ilionesha ufundi wa hali ya juu.
Maswali ninayojiuliza ni je hali hii nikawaida ama kuna mkono wa mtu.
We ndio basi tena....
Kwishnehi
Office yako ipo maeneo gan mkuu...??Nina ofice mkuu kabisa sema wateja ndo wa shida ila nazani baada ya kumtibu mtoa mada akileta mrejesho apa wateja watajileta wenyew
Leo mbona nakufumania maeneo ya hatari tu?
Office yako ipo maeneo gan mkuu...??
Maan nahic na mm ntaumwa huo ugonjwa wa mtoa mada ili nije unitibu...hahaaaah.!!!