Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 1,054
- 2,426
Habarini ndugu,
Nipo macho mpaka muda huu nashindwa kulala macho yanauma misuli ya macho inavuta nkifumba macho nilale yanauma naskia kizunguzungu kichwa kinauma mwili unaishiwa nguvu, hii hali imenipata baada ya kubadilisha miwani.
Nilienda hospital private pale Morroco nataka niende hospital nyingine. Naombeni mniambie wapi patanifaa Kwa hii tatizo.
.
Nipo macho mpaka muda huu nashindwa kulala macho yanauma misuli ya macho inavuta nkifumba macho nilale yanauma naskia kizunguzungu kichwa kinauma mwili unaishiwa nguvu, hii hali imenipata baada ya kubadilisha miwani.
Nilienda hospital private pale Morroco nataka niende hospital nyingine. Naombeni mniambie wapi patanifaa Kwa hii tatizo.
.