Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,464
Tanzania ni Mecca/Jerusalem ya Africa tangu enzi za ukombozi, huyo Museven watoto wake wote aliwazaa akiwa Tanzania. Nchi pekee iliyokua ikipingana na ukweli ilikua ni Kenya, lakini kama ujuavyo huwezi kuzuia mvua, hatimae Uhuru Kenyatta amekubaliana na ukweli, ameamua kuja kuhufhuria hijja katika ardhi takatifu, kuanzia sasa Kenya itaanza kuwa na baraka za Mungu, karibu Museven na wewe upate baraka za Bwana. Tanzania Hoyeeeeeeeeee. No Tanzania, No East Africa, No SADC.Hivi huyu Mzee wa chato ana manukato yepi hadi anafuatwa mzima mzima hadi kijijini kwake na marais?View attachment 1151828
Kagame naye nasikia anabisha hodi.
"First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win".
Mahatma Gandhi
Hahaha JPM alipata kazi ngumu sana kumuweka uhuru sawa sababu alikua amepoteza matumaini kabisa ndio maana ikabidi aende extra mile kumpa Tausi wanne wapelekwe nyumbani kwake uhuru huenda wakabadilisha ile essence ya unyang'au na kuleta maarifa na utashi uliopo ikulu ya Tanzania.Tanzania ni Mecca/Jerusalem ya Africa tangu enzi za ukombozi, huyo Museven watoto wake wote aliwazaa akiwa Tanzania. Nchi pekee iliyokua ikipingana na ukweli ilikua ni Kenya, lakini kama ujuavyo huwezi kuzuia mvua, hatimae Uhuru Kenyatta amekubaliana na ukweli, ameamua kuja kuhufhuria hijja katika ardhi takatifu, kuanzia sasa Kenya itaanza kuwa na baraka za Mungu, karibu Museven na wewe upate baraka za Bwana. Tanzania Hoyeeeeeeeeee. No Tanzania, No East Africa, No SADC.
Tanzania ni Mecca/Jerusalem ya Africa tangu enzi za ukombozi, huyo Museven watoto wake wote aliwazaa akiwa Tanzania. Nchi pekee iliyokua ikipingana na ukweli ilikua ni Kenya, lakini kama ujuavyo huwezi kuzuia mvua, hatimae Uhuru Kenyatta amekubaliana na ukweli, ameamua kuja kuhufhuria hijja katika ardhi takatifu, kuanzia sasa Kenya itaanza kuwa na baraka za Mungu, karibu Museven na wewe upate baraka za Bwana. Tanzania Hoyeeeeeeeeee. No Tanzania, No East Africa, No SADC.
Hivi huyu Mzee wa chato ana manukato yepi hadi anafuatwa mzima mzima hadi kijijini kwake na marais?View attachment 1151828
Kagame naye nasikia anabisha hodi.
"First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win".
Mahatma Gandhi
Kwamba wewe ndiye joto la Jiwe?????Tanzania ni Mecca/Jerusalem ya Africa tangu enzi za ukombozi, huyo Museven watoto wake wote aliwazaa akiwa Tanzania. Nchi pekee iliyokua ikipingana na ukweli ilikua ni Kenya, lakini kama ujuavyo huwezi kuzuia mvua, hatimae Uhuru Kenyatta amekubaliana na ukweli, ameamua kuja kuhufhuria hijja katika ardhi takatifu, kuanzia sasa Kenya itaanza kuwa na baraka za Mungu, karibu Museven na wewe upate baraka za Bwana. Tanzania Hoyeeeeeeeeee. No Tanzania, No East Africa, No SADC.
Hahahaha, nani amualike mvuta bangi huyo?, yeye mwenyewe alipiga Simu, Mara ya kwanza Magufuli alikausha hakupokea, Mara ya pili ndio akasema ngoja nimsikilize. Mazungumzo yakawa kama ifuatavyo;Bwahahaaa..ukwel haubadiliki km kaalikwa..ila yeye asahau kualikwa gatundu...
Kwanza aalikwe kw lipi..wakati yeye ni zero brain
Bwahahaaa..ukwel haubadiliki km kaalikwa..ila yeye asahau kualikwa gatundu...
Kwanza aalikwe kw lipi..wakati yeye ni zero brain
Wanafuata ndege wa tausi, ile ilikuwa bahati ya UK peke yake, wao watapewa sangara wabichi tuHivi huyu Mzee wa chato ana manukato yepi hadi anafuatwa mzima mzima hadi kijijini kwake na marais?View attachment 1151828
Kagame naye nasikia anabisha hodi.
"First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win".
Mahatma Gandhi
Sikiliza hapo, utajua kwamba marais wanapigana vikumbo kuomba kwenda Chato.
Hahahaha, nani amualike mvuta bangi huyo?, yeye mwenyewe alipiga Simu, Mara ya kwanza Magufuli alikausha hakupokea, Mara ya pili ndio akasema ngoja nimsikilize. Mazungumzo yakawa kama ifuatavyo;
Magu; Helo, nani anaongea?
Uhuru: Mimi Uhuru Kenyatta
Magu: Nikusaidie nini?
Uhuru: Ninataka kuja kukuona
Magu; Mimi nipo kijijini kwa mapumziko.
Uhuru; Tafadhali niruhusu nije hapo kijijini Nina shida ya kuzungumza na wewe.
Magu; Ongea tu hapa kwenye Simu nitakuelewa
Uhuru; Hapana ninaomba tu nije kupata baraka zako.
Magu: Unataka uje kukaa muda gani?
Uhuru; Siku Kumi au saba kama utaniruhusu
Magu ; Hapana sina huo muda
Uhuru ; Basi siku mbili
Magu; OK, harakisha kwasababu Museven pia ameomba kuja.
Uhuru; Asante sana, kesho nitakua hapo.
Hahahaha, hahahaha, hahahaha, hahahaha
Humu ndani watoto mmekua wengi hadi jukwaa limekua ka lawatoto..sasa kuhusu nani alimwalika mwenzie inasaidia nn hapa??Ukwel hauwez badilika..uhuru kaalikwa..full stop