Baada ya DSTV kujichanganya kwa bei kubwa ya World Cup, AzamTv ni nafasi yenu hii kututangazia World Cup bei chee

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,914
6,033
DStv jana wamezindua ofa yao ya kombe la dunia ambapo ili uone mechi zote 64 mubashara utahitaji ulipe kifurushi cha Compact ambacho ni shilingi 56,000.

Ndugu zetu, wazalendo wenzetu AzamTv huu ndiyo muda wenu wa kuibuka na kututangazia Watanzania kuwa mtaonesha kombe la dunia kwa bei nafuu.

AzamTv amkeni kutoka kwenye usingizi mzito, njooni mjichukulie alama 3 muhimu
 
Dstv jana wamezindua ofa yao ya kombe la dunia ambapo ili uone mechi zote 64 mubashara utahitaji ulipe kifurushi cha Compact ambacho ni shilingi 56,000.

Ndugu zetu, wazalendo wenzetu AzamTv huu ndio muda wenu wa kuibuka na kututangazia Watanzania kuwa mtaonesha kombe la dunia kwa bei nafuu.

AzamTv amkeni kutoka kwenye usingizi mzito njooni mjichukulie point 3 muhimu
Wataonyesha kwa rights zipi wakati tayari Dstv ndiyo mwenye hiyo haki?
 
Dstv jana wamezindua ofa yao ya kombe la dunia ambapo ili uone mechi zote 64 mubashara utahitaji ulipe kifurushi cha Compact ambacho ni shilingi 56,000.

Ndugu zetu, wazalendo wenzetu AzamTv huu ndio muda wenu wa kuibuka na kututangazia Watanzania kuwa mtaonesha kombe la dunia kwa bei nafuu.

AzamTv amkeni kutoka kwenye usingizi mzito njooni mjichukulie point 3 muhimu
unadhania ni rahisi hivyo?kwa kusini mwa jangwa la sahara dstv ndio mwenye haki kubwa ya kuonyesha michuano mikubwa mikubwa ya mpira wa mguu,pamoja na CANAL+,hivyo usifikilie tu kuwa ni suala la kukurupuka tu!!Azamu atapewa haki za kuonyesha baadhi ya mechi tu na sio zote
 
Back
Top Bottom