Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 15,819
- 40,316
Viongozi wa serikali baada ya shule kufunguliwa msije mkawanyanyasa walimu kwa kauli za maudhi.
Mnakuwa wavivu mbona mlikaa nyumbani bure huku mnalipwa.
Mnaidaidai serikali madeni ya malimbikizo mbona mlikuwa mnalipwa bure.
Juzi tu mlikuwa nyumbani Leo mmeanza kuomba omba ruhusa.
Wenzenu afya walipigana na korona hawakulala nyumbani kama nyie.
N.k
Hizo ni kauli zitakazo tawala Sana kwa wakuu wa idara huko kwenye halmashauri dhidi ya walimu.
Poleni in advance walimu mtayasikia sana haya na mtanikumbuka.
Superbug.
Mnakuwa wavivu mbona mlikaa nyumbani bure huku mnalipwa.
Mnaidaidai serikali madeni ya malimbikizo mbona mlikuwa mnalipwa bure.
Juzi tu mlikuwa nyumbani Leo mmeanza kuomba omba ruhusa.
Wenzenu afya walipigana na korona hawakulala nyumbani kama nyie.
N.k
Hizo ni kauli zitakazo tawala Sana kwa wakuu wa idara huko kwenye halmashauri dhidi ya walimu.
Poleni in advance walimu mtayasikia sana haya na mtanikumbuka.
Superbug.