MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 9,314
- 25,453
Umepigwa ndoige mpaka umekubali kaka yaani umesahau namba tunawekaga PM umempa hapa hapa .Point tupu, sema nimemwambia nitampigia simu nkae ntafakari coz skufikiria hivyo vile ambavyo yeye ananilipa, mkuu naomba tuwasiliane 0769442907
Mawazo Yako ni chanya sana🙏🙏✅
Ukihitaji msaada nipo hapa 24/7 kwaajili ya watu kama ninyi karibu kwenye uzi huu useme shida yako! Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega threadPoint tupu, sema nimemwambia nitampigia simu nkae ntafakari coz skufikiria hivyo vile ambavyo yeye ananilipa, mkuu naomba tuwasiliane 0769442907
Mawazo Yako ni chanya sana🙏🙏✅
Hakuna cha siri cha kusabisha kupigiana simu maongezi yote yataishia hapa! Hakuna jipya chini ya jua..Umepigwa ndoige mpaka umekubali kaka yaani umesahau namba tunawekaga PM umempa hapa hapa .
Kikubwa awe salama ila yakitokea mengine sitasita kukutafuta 😀
Safi kabisaHakuna cha siri cha kusabisha kupigiana simu maongezi yote yataishia hapa! Hakuna jipya chini ya jua..
Hakika ntaondoka Kwa heri kabisa.Sijajua umbali wa sehemu ya kazi na hapo unapo kaa lakini kama unapewa 5k per day manaake kwa mwezi ni 150k ambapo uwenda hata kodi na vipengele kadhaa kama mwanamme sometimes utashindwa kusolve kwahyo nini kifanyike?
Usiache kazi ghafla ila angalia upande wapili, endelea kukaa rader 👀. Ukipata mchongo hata wa 7k pita nao chap mana hapo wanakunyonya mkuu.
Lakini pia huyo muajili wako pia ni mbabaishaji, kama mlisha kubaliana kila kitu ni juu yake iwaje sasa hivi aje kugeuza kibao maana ake hapo trust aipo.
Tafta mchongo mwingine .
Nb: usiondoke kwa shali
Sijajua umbali wa sehemu ya kazi na hapo unapo kaa lakini kama unapewa 5k per day manaake kwa mwezi ni 150k ambapo uwenda hata kodi na vipengele kadhaa kama mwanamme sometimes utashindwa kusolve kwahyo nini kifanyike?
Usiache kazi ghafla ila angalia upande wapili, endelea kukaa rader 👀. Ukipata mchongo hata wa 7k pita nao chap mana hapo wanakunyonya mkuu.
Lakini pia huyo muajili wako pia ni mbabaishaji, kama mlisha kubalia
Kwahiyo tukujibu kuhusu kazi au kuhusu mchumba?
Mwambie ukweli tu kazi nyingi zina changamoto katika makubaliano! Ukiona anakaza fanya maamuzi unayoona ni sahihi kwako!Hakika ntaondoka Kwa heri kabisa.
Nauli 900x2=1800~2000
So pow kbs, bad thing kabadl kula na nauli ni juu yangu malipo 4000 nliomba aongeze iwe 5k alikubali nkijua ntasave 5k per day 120 per month sababu naanza ningejituma haswa ila sasa Kwa style kanikata mood sana sana mkuu💔
Nishamwelekeza ni yeye sasa akili kumkichwa!Mjibu kuhusu chakula kwanza😂😂
Unaelewa sana kaka. Haiitaji nguvu hiiMkuu elfu 5 hyo hyo ni nauli ya kwenda na kurudi , hiyo hiyo apate chakula mkuu, halafu kama mwamme kuna vipengele.
Mbali na hapo kuna maswala ya kodi hapo hamna kazi mkuu wanamkandamiza tu, kua chini ya mtu ni hasara na mateso sana
Dogo anataka kuonewa huruma. Mwanaume anayependa kuonewa huruma analeta mashaka kwa jamii. Mwanaume unatiwa moyo tu.Nishamwelekeza ni yeye sasa akili kumkichwa!
Kukaa bila kazi ndo kunaniwazisha afu Niko Kwa mshikaji kukaa tu bure si kweliMtoka bure sio sawa na mkaa bure! Kupata kazi huwa kipengele kama huna kazi! Kama umewahi kukaa bila kazi utakuwa unanielewa! Akiacha hiyo buku 5 atarudi kwa mshkaji kukaa tu ndani kama mwali? Akomae ndio uanaume huo! Akilegeza ndio biashara inaishia hapo!
Kodi ipi? Si bado anabebwa na mwenzie! Kazi nyingi za mishahara midogo ndio ziko hivyo! Lazima ajikaze kuteseka.. huwezi tu kuibuka ukawa juu ni neema ya wachache hiyo! Wengine lazima upitishwe kwenye moto kwanza! Yeye apambane kuanzisha mradi wake bila kuwa chini ya mtu sio leo sasa! Akitaka fairness lazima kimlambe!
Nalipwa per day na nvae official yaani ukiniona road huwezi Amini kama nalipwa hiyo pesa asee, maumivu kila mahali🤤🤤💔5k zidisha 30 days hapo ni 150k huo ni mshahara wa mlinzi anaelinda geti somewhere sio mbaya lakini mradi maisha yanasonga
Ungesikiliza ushauri wangu ungefanya la maana sana! Huyo anayekushauri ela ndogo acha kazi, muombe mchongo au ukakae kwake bure!Kukaa bila kazi ndo kunaniwazisha afu Niko Kwa mshikaji kukaa tu bure si kweli
Jamaa kashaonekana kapata kibarua usitegemee ataendelea kukaa bure lazma nae atie mkono kwa namna moja au nyingne hapo wanapo ishi.Mtoka bure sio sawa na mkaa bure! Kupata kazi huwa kipengele kama huna kazi! Kama umewahi kukaa bila kazi utakuwa unanielewa! Akiacha hiyo buku 5 atarudi kwa mshkaji kukaa tu ndani kama mwali? Akomae ndio uanaume huo! Akilegeza ndio biashara inaishia hapo!
Kodi ipi? Si bado anabebwa na mwenzie! Kazi nyingi za mishahara midogo ndio ziko hivyo! Lazima ajikaze kuteseka.. huwezi tu kuibuka ukawa juu ni neema ya wachache hiyo! Wengine lazima upitishwe kwenye moto kwanza! Yeye apambane kuanzisha mradi wake bila kuwa chini ya mtu sio leo sasa! Akitaka fairness lazima kimlambe!
Dalili ngumu hizi! Kuna mmoja alikuwaga anaanzisha nyuzi za kujiliza kila siku, siku moja nikamchana akaishia kutitusi mie malaya lakini dawa ilimuingia!Dogo anataka kuonewa huruma. Mwanaume anayependa kuonewa huruma analeta mashaka kwa jamii. Mwanaume unatiwa moyo tu.