Baada ya bomu la Dkt. Bashiru, Rais Samia aanza ziara

Baada ya bomu la Dkt. Bashiru, Rais Samia aanza ziara

Tutaendelea kupiga tu hadi akili ikae sawa. Moto zaidi unakuja. Kama una mahaba nae sana kanywe nae chai babati.
Sijawahi kuwa na mahaba na kiongozi toka chama cha wanafiki mimi. nasimamia ukweli na siabudu watu kama wewe. naabudu taasisi. mama yupo kwa mujibu wa katiba ambayo mlisema ni nzuri sana kwakuwa wananchi wanataka mabarabara.
mnaweweseka nini kama katiba ni nzuri na ndo ilomweka bi mkubwa?
 
una akili ndogo sana.
unakumbuka matukio yaliyotokea baada ya kubadilishwa sheria ya kikokotoo na kuvurugwa kwa mifuko ya hifadhi za jamii na yule shetani?
unakumbuka matukio yaliyotokea baada ya kuundwa kwa tume ya OSORO?
Raisi kafanya ziara nyingi tena vijijini siyo yule mpuuzi aliyekuwa anapita barabara kuu na kugawa maburungutu ya noti
ziara ya manyara ilipangwa hata kabla ya huyo bashiru kuongea ujuha wake? kama mzalendo kweli
mbona hajawatetea wakulima wa korosho walipoporwa korosho zao na MAGUFULI?
Mbona hajawambia wanafunzi waliokatazwa kufanya siasa anazofundisha yeye wagomee kauli ile ya kifedhuli
KWSHAKUFA HATARUDI TENA, KAMFUKUENI
Usiwe popoma chawa mkubwa wewe!

Nitajie vijiji 10 alivyoenda Samia
 
Sijawahi kuwa na mahaba na kiongozi toka chama cha wanafiki mimi. nasimamia ukweli na siabudu watu kama wewe. naabudu taasisi. mama yupo kwa mujibu wa katiba ambayo mlisema ni nzuri sana kwakuwa wananchi wanataka mabarabara.
mnaweweseka nini kama katiba ni nzuri na ndo ilomweka bi mkubwa?
Unaabudu vipi taasisi.?
 
Bashiru mnamkuza sana, huyo akiporwa kadi baada ya mwezi mmoja anasahaulika kama Ndugai
Hii ndio CCM, chama dola kinachotumia dola kubaki madarakani
 
Kwa udhaifu huu ulitegemea tulete mahaba tu.?
Pole sana. Sure ana madhaifu mengi, she is not performing to perfection.... lakini hajaua , hajateka, haja bambika kesi, haja pora fedha za watu, hajapoteza watu, hajafunga watu midomo kusema kwa kiasi fulani... ....kama unavyojua! Kwa hilo niko upande wake sana.
 
Pole sana. Sure ana madhaifu mengi, she is not performing to perfection.... lakini hajaua , hajateka, haja bambika kesi, haja pora fedha za watu, hajapoteza watu, hajafunga watu midomo kusema kwa kiasi fulani... ....kama unavyojua! Kwa hilo niko upande wake sana.
We mbona hukutekwa, hukubambikiwa kesi, hukuporwa fedha na wala hujapotea?
 
Baada ya bomu zito kutoka kwa balozi Dkt. Bashiru kikao cha dharura kimeazimia mama aanze ziara za kujibu hoja mbalimbali.

Ameambatana na baadhi ya mawaziri ambao wengine anaamini wataongea kauli za fedheha kwa Dkt. Bashiru lakini baadhi yao wameshtukia mtego kama Bashe.

Lakini ifahamike huu ni wakati wa ukame na jua ni kali mno. Hofu yangu ni kushindana na hoja ya dr Bashiru kwa kumzururisha huyu mama juani.

Maumbile yake na umri wake haviruhusu. Wasije wakamuumiza wakajikuta wamemkosa malkia wa nyuki na hivyo ikawa mwisho wa kulamba asali.
Mbona wiki tatu tu alikuwa Kagera ziarani, alienda Tabora, Mbeya nako huko kulitokana na hilo bomu? Msipende kukuza mambo. Msichonganishe viongozi. 🙏🙏🙏
 
Baada ya bomu zito kutoka kwa balozi Dkt. Bashiru kikao cha dharura kimeazimia mama aanze ziara za kujibu hoja mbalimbali.

Ameambatana na baadhi ya mawaziri ambao wengine anaamini wataongea kauli za fedheha kwa Dkt. Bashiru lakini baadhi yao wameshtukia mtego kama Bashe.

Lakini ifahamike huu ni wakati wa ukame na jua ni kali mno. Hofu yangu ni kushindana na hoja ya dr Bashiru kwa kumzururisha huyu mama juani.

Maumbile yake na umri wake haviruhusu. Wasije wakamuumiza wakajikuta wamemkosa malkia wa nyuki na hivyo ikawa mwisho wa kulamba asali.
"Wasije wakamuumiza wakajikuta wamemkosa malkia wa nyuki na hivyo ikawa mwisho wa kulamba asali."

Umepiga kwenye Mshono!
 
Baada ya bomu zito kutoka kwa balozi Dkt. Bashiru kikao cha dharura kimeazimia mama aanze ziara za kujibu hoja mbalimbali.

Ameambatana na baadhi ya mawaziri ambao wengine anaamini wataongea kauli za fedheha kwa Dkt. Bashiru lakini baadhi yao wameshtukia mtego kama Bashe.

Lakini ifahamike huu ni wakati wa ukame na jua ni kali mno. Hofu yangu ni kushindana na hoja ya dr Bashiru kwa kumzururisha huyu mama juani.

Maumbile yake na umri wake haviruhusu. Wasije wakamuumiza wakajikuta wamemkosa malkia wa nyuki na hivyo ikawa mwisho wa kulamba asali.
Hii ziara mbona imepangwa kitambo, na hata wanamanyara walikuwa na taarifa za kutembelewa na Mkuu wa Nchi!?
Ni wewe tu ndio ulikuwa huna taarifa.
 
Hii ziara mbona imepangwa kitambo, na hata wanamanyara walikuwa na taarifa za kutembelewa na Mkuu wa Nchi!?
Ni wewe tu ndio ulikuwa huna taarifa.
Ila sio kuongozana na mawaziri na kujibu kero. Hii ni baada ya bomu.
 
Sio kwa kipindi hiki. Na ziara imeanza saa sita mchana.
Na wewe ni mjumbe wa kamati kuu hata ukatoa taarifa ya kikao?

Hebu jiambie kitu kimoja; je huyo Raisi kweli anakurupuka nusu saa baada ya kikao na kuanza ziara kama wewe unavyoamua kwenda kilabuni?

Hizo chuki zenu tena tooooooo much!
 
Ni Ziara za kawaida na kikazi Kama kawaida ya mh Rais kupita na kukutana na watanzania ili kuwasikiliza na kutatua kero za wananchi na siyo Kama unavyotaka kupotosha hapa kwa chuki zako za kitoto,hakuna wa kuweza kumtikisa Rais Samia,hayupo mwenye ubavu huo na Wala hajazaliwa
Mbona anatikisika? Why did he sideline akina Lukuvi?
 
Hii ziara mbona imepangwa kitambo, na hata wanamanyara walikuwa na taarifa za kutembelewa na Mkuu wa Nchi!?
Ni wewe tu ndio ulikuwa huna taarifa.
Wanadhani raisi kama mama ntilie anapoamua kwenda sokoni kununua vifaa vya mahitaji yake basi anakurupuka tu.
 
Baada ya bomu zito kutoka kwa balozi Dkt. Bashiru kikao cha dharura kimeazimia mama aanze ziara za kujibu hoja mbalimbali.
siyo dharura mkuu, ziara ilikuwepo Kbl ya Bashiru Kutema nyongo, its like coincidence ziara ya Arusha na Manyara zilikuwepo tangu awali ninachojua pamoja namamnbo mengine atakuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa TRAMPA na hivyo it scheduled kwa maana apige ndege wawili kwa jiwe moja!! kufungua mkutuano wa TRAMPA lkn pia kufanya ziara Manyara na Arusha!!
 
Ziara hazitakuwa na manufaa kama wananchi watakatazwa kuwa huru kwenye hiyo mikutano.

Mwananchi anasimama kuongea changamoto zake anakatazwa.
 
una akili ndogo sana.
unakumbuka matukio yaliyotokea baada ya kubadilishwa sheria ya kikokotoo na kuvurugwa kwa mifuko ya hifadhi za jamii na yule shetani?
unakumbuka matukio yaliyotokea baada ya kuundwa kwa tume ya OSORO?
Raisi kafanya ziara nyingi tena vijijini siyo yule mpuuzi aliyekuwa anapita barabara kuu na kugawa maburungutu ya noti
ziara ya manyara ilipangwa hata kabla ya huyo bashiru kuongea ujuha wake? kama mzalendo kweli
mbona hajawatetea wakulima wa korosho walipoporwa korosho zao na MAGUFULI?
Mbona hajawambia wanafunzi waliokatazwa kufanya siasa anazofundisha yeye wagomee kauli ile ya kifedhuli
KWSHAKUFA HATARUDI TENA, KAMFUKUENI
Aiseh!

Bas sawa!
 
Unadhani tumekusahau enzi za magufuli? Ulikuwa mkali hapa JF! It seems you were left behind by Samia!
Ila nachoshangaa hata mtu kama wewe umetekwa na Siasa za mtu binafsi? kuna tofauti gani hapa; the same system, different factions. Wewe ndiyo victim.
 
Back
Top Bottom