KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 3,882
- 4,511
Wakuu muwe salama msiwe salama hainihusu,kikubwa kwangu YANGA BINGWA.
Baada tu ya mchezo kuisha jana wafuatao ndio wanapitia wakati mgumu (maumivu mazito)hapa JF÷
1. GENTAMYCINE (Huyu ndo Kinrara wa kuteseka kwa msimu mzima),Alitamka zaidi maneno kama TAKUKURU,RUSHWA,UCHAWIkuliko neno MUNGU ndani ya Msimu mzma.
2. Mshana Jr
3. okwi Boban
4. Buibui
SABABU ZA MAUMIVU YAO
1.Over expectations kwa timu Lao la MAKOLO
2.Mayele kuendelea kutetema na mpaka sasa kuongoza ufungaji bora
3.Kero za Bugatti (Mdomo uliowapa raha na mbinu za ubingwa kwa zaidi ya misimu minne).
3.Sajili za kimchongo na za kitoto zinazoendelea pale UKOLOKOLONI.
Wengine jitajeni kabla sijaleta BAND kutoka Congo.
Baada tu ya mchezo kuisha jana wafuatao ndio wanapitia wakati mgumu (maumivu mazito)hapa JF÷
1. GENTAMYCINE (Huyu ndo Kinrara wa kuteseka kwa msimu mzima),Alitamka zaidi maneno kama TAKUKURU,RUSHWA,UCHAWIkuliko neno MUNGU ndani ya Msimu mzma.
2. Mshana Jr
3. okwi Boban
4. Buibui
SABABU ZA MAUMIVU YAO
1.Over expectations kwa timu Lao la MAKOLO
2.Mayele kuendelea kutetema na mpaka sasa kuongoza ufungaji bora
3.Kero za Bugatti (Mdomo uliowapa raha na mbinu za ubingwa kwa zaidi ya misimu minne).
3.Sajili za kimchongo na za kitoto zinazoendelea pale UKOLOKOLONI.
Wengine jitajeni kabla sijaleta BAND kutoka Congo.